Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Huyo hajielewi wabunge wangapi wanahama na madiwani tena karibia wote wanaume au wanajinsi ya kike wanajificha kwa kuvaa suluali?Hivi wale wanaume wanaohama vyama na kumuunga mkulu mkono huku nyuma wakiwaacha wanawake ngangali nyuma tunawasemaje?