inaonekana kuna mitazamo tofauti kuhusiana na hilo suala la mwanamke na mwanaume.....Na kulifanyia maamuzi inategemea mtu mmoja mmoja na mtazamo wake...mf kama wewe unaona Mwanaume ni sawa na Mwanamke kwa kutazama Mali ,pesa ,nk lakini kwa Misingi ya Uumbaji Huenda ikawa Tofauti sana unadhani kwa nini Aliyetuumba alitutahadharisha kwamba wao ni Viumbe dhaifu na akaongezea tunapaswa kuwapenda lakini kubwa zaid akatwambia TUISHI NAO KWA AKILI,,,,,, Lakini kubwa kuliko yote Mwanaume akapewa UKICHWA wa FAMILIA ...kama unamwona mwanamke ni sawa na mwanamme Basi unaweza kuacha mwanamke awe kichwa cha familia ikiwa unaona amekuzidi pesa ,akili,na vingine vingi