Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,508
- 94,625
Mijadala yahusuyo jinsia na dini huwa yananipa uzito sana kuyajadili maana hayana muafaka kila mmoja anavutia kwake. Ngoja nibaki mtazamajiKwa muktadha upi basi
Mijadala yahusuyo jinsia na dini huwa yananipa uzito sana kuyajadili maana hayana muafaka kila mmoja anavutia kwake. Ngoja nibaki mtazamajiKwa muktadha upi basi
Naomba namba yakeMwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
Huyu bwana anawatetea wanawake sana.Hahahaa Japo mm ndo mtoa Mada ila Mkuu Theosolnus anatetea sana wanawake
Anadhani ni computer anapima performance capacity kisha anunueKwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.
Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
pesa haitoshi hiyo kuanua ongeza kidogoMwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
Wanawake hawa hawa watanzania mfano mzuri ni yule mama alie hama chama baada ya kuona aliekua anamtegemea kutengeneza chama kapewa chaka la bunge la africa mashariki. Na yeye akaona kitamfia mikononi ndio akaomba akapewa mkoa wa kilimanjaro akamuachia chama huyu jamaa wa kigomaMazee acheni fallacy generalization basi.
Kuna wanaume wenye sifa uliyotaja. Kuna wanawake ma -CEO na kampuni zinafanya vizuri.
Hivi nyie mnachukua wanawake wa wawapi mnajilinganisha nao? Tunaposema mwanamke ni dhaifu kumzidi mwanamme logically tunakichukua kiumbe chochote cha kike tunakilinganisha na kiumbe chchote cha kiume kwa sifa tajwa.
Mtu anaeweza kukuua muda wowote akitaka unamuitaje dhaifu.yaan nasema hivi we wasifie utakuja kunambia,mwanamke hata awe na dunia nzima hiii uwezo wake ni weak sana ukilinganisha na mwanaume asiye na kitu
*KWA NINI KIHARUSI MARA NYINGI HUTOKEA*Kwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.
Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
kuoga! Ni makosa makubwa haya, hii inasababisha kubadilisha hali ya ujoto katika mwili wako haraka sana (na miili yetu ina Damu ya
moto) na hivi kufanya mishipa ya Damu* inayopeleka kwenye ubongo kuchanika na kupasuka na inahatarisha kwa binaadamu kupata kiharusi kwa haraka sana.Evelyn Salt mmojawapoKwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.
Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
Haya sasa wabobezi wa mambo wamekuja!Marioo tuliza mshono. Aliyewaumba anasema anasema wana mapungufu ww kulelewa kidogo tu unawasujudia. Au sio ME ww?
Muda wa kusema mwanamke ni dhaifu ulishapita.
This is nonsense, yaani unapima udhaifu wa mwanaume kwa kumlinganisha na mwanamke!?Baki na stori zako na nyoka, ila uhalisia unauona mwenyewe.
Kujumuisha kwa Kusema wanamke ni dhaifu huu ni ujuha na wakati kuna wanaume dhaifu kuzidi wanawake.
Nani kapima udhaifu wa mwanaume?This is nonsense, yaani unapima udhaifu wa mwanaume kwa kumlinganisha na mwanamke!?
Unajitahidi kuwatetea huenda huwajui vizuri wanawake.