Promethazine
JF-Expert Member
- Sep 6, 2017
- 262
- 260
Thelonius kusema kuwa aliyewaumba hakusoma nyakati! That's totally wrong hana utashi kiasi hicho cha kufanya critics kwenye kazi ya Mungu.Jamaa kakosea wap
Thelonius kusema kuwa aliyewaumba hakusoma nyakati! That's totally wrong hana utashi kiasi hicho cha kufanya critics kwenye kazi ya Mungu.Jamaa kakosea wap
Uzi wako unaonyesha mashaka makubwa ktk akili yako Eti maswali tactical ya kumuuliza mwanamke... Ungekua timamu na reasoning yako by this age unapaswa kujua binadamu ni very complex individuals..hivyo hakuna formula katika uncontrolled environment..otherwise mpe mtihani kupima IQ..Ama mtihani wa somo flani..otherwise usikariri maswali ya kuuliza mtu...Achana na tofauti ya kijinsia zipo tofauti nyingi mno
LadyRed una miaka Mingapi tuanzie Hapa kwanzaUzi wako unaonyesha mashaka makubwa ktk akili yako Eti maswali tactical ya kumuuliza mwanamke... Ungekua timamu na reasoning yako by this age unapaswa kujua binadamu ni very complex individuals..hivyo hakuna formula katika uncontrolled environment..otherwise mpe mtihani kupima IQ..Ama mtihani wa somo flani..otherwise usikariri maswali ya kuuliza mtu...
Relationships are more about 'Chemistry'...
Nikuulize wewee kwanza...mana mi siwezi kuja eti nauliza umma maswali gani nimuulize mwanaume kupima uwezo wake...do u realize how hw u sound?..ts simple js spend time and chat or talk wt the mf amd find out...how hard is that??.LadyRed una miaka Mingapi tuanzie Hapa kwanza
Unaonesha udhaifu ambao tulikuwa tunauzungumza Hapa....umeulizwa swali na wewe unauliza the same question....sasa ukiambiwa wewe ni ZwaZwa ukiinama Akili zinamwagika utakataa? Au una cha Kubisha??Nikuulize wewee kwanza...mana mi siwezi kuja eti nauliza umma maswali gani nimuulize mwanaume kupima uwezo wake...do u realize how hw u sound?..ts simple js spend time and chat or talk wt the mf amd find out...how hard is that??.
ahahahahahaahahahahaha wanawake bhana kwahio mtu kama hawatetei nyie ndio ana thinking Capacity Ndogo?Kama thinking capacity yako ndio poor namna hii, sidhani kama unaweza kupata mwanamke amabae anauwezo mkubwa kufikiri na kupambanua, utapata level yako na utaendelea kuamini hivyo hivyo
Hata we ni wa kusamehewa buresio kosa lako
muulize how do yo do,Kuna Member Mmoja alishawahi kuleta post kam hii jukwaani la namna ya kupima uwezo wa kufikiri wa Mwanamke sema kwa bahati mbaya hio post nimeshindwa kuiona.
Kw mf unataka kupima uwezo wa kufikiri au kuchambua vitu bila kujali elimu na mwanamke either awe mke/mpenzi.
Je maswali gani tactical ya kumuuliza?
Your contributions will be appreciated
basi muulize do you do how???How do you do ni kiingereza ambacho kama sio msom ni ngumu kuelewa
vyuma mkuu.....pesa haitoshi hiyo kuanua ongeza kidogo
Asante mkuuBusara sana hili jib
mnachezea akili za wanake nyiebasi muulize do you do how???