Kupigiana simu kwa wanandoa

Kupigiana simu kwa wanandoa

Sijui kuhusu yeye kama kuna shida mahala ama lah!!

Binafsi mimi ni mvivu kinoooma kupiga simu, huu ni udhaifu wangu, kuongea muda mrefu kwenye simu naona tabu,
Mke wangu yupo km 500 kutoka nilipo mimi, anajua kuwa hilo ni tatizo langu, imebidi siku hizi awe ananikumbusha fulani umewasiliana nae, umemjulia hali, haya wasiliana nae sasa hivi unipe mrejesho.

Kwake imekuwa si tatizo katika mara 20 tutakazo ongea kwenye simu basi mara 19 kapiga yeye, akiwa likizo kwa siku anaweza piga simu hata mara 5.
Nikimpigia anafurahi kuwa naanza badilika kwa ajili yake, ila nisipopiga sio kesi anajua ndio udhaifu wangu.

Kwanza ngoja nimpigie mara ya mwisho kupiga mimi ni majuzi aliponitxt nimpigie salio limeisha 😂
Ulimtoa wapi huyo mkeo na mimi nikaoe kwenye famili yao.

Huyu mleta uzi ana mapenzi ya mlengo mmoja yaani yeye anataka kupendwa ila yeye kupenda hataki.
Anataka kutimiziwa yeye kutimiza hataki.
 
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.

Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?

Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?

Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Taratibu unaanza kuipanda mbegu ya mashaka juu ya penzi la mumeo. Mbegu hii ikipata virutubisho na kustawi ni hatari sana kwa ndoa yenu. Ni vyema ujitahidi uiue hiyo mbegu haraka sana kabla haijaleta madhara.
 
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.

Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?

Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?

Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Nina mchumba yupo nje ya nchi,tunachat whatsap,whatsap col,muda mwingine video col
Mimi mvivu kupigiana mara nyingi akipiga anakuta nipo offline
Anachukia maana yeye anapenda kuongea zaidi,mimi napenda kuchat
Ni kawaida kila mtu anavyopenda,sema ndio hivyo binadamu kuhisi tofauti.
Yeye huwa ananihisi vby japo hajasema,wkt mimi ni mwaminifu sana
Najua hata wewe lzm utakuwa unahisi tofauti
 
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.

Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?

Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?

Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
wala usipanik
even mimi kwa upande wangu ninaenjoi sana kuchat kuliko kumpigia mtu simu,

yani simu zangu ni kwa jambo la maelezo marefu au emergency tu but kama utapiga simu kwa muda mrefu jiandae kuwa the main speaker mie ntakuwa nakusikiliza tu.

ila kuchat utakimbia wewe

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.

Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?

Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?

Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Dada tia salio mpigie wewe . yeye salio lake analitumia kwenye kufanya kukutafutia wewe pesa ishi vizuri wewe tia salio umpgie
 
Anakupenda kawaida tu hyo. Kiufup... Ukiona mapenz hayana mawasiliano mazur ujue kuna shida... Hzo sabab sjui mtu hapend kuongea na sim bla bla ni kujitoa ufaham tu ila kiukwel ni kwamba mtu mnaependana na kujaliana mtapigiana na kuwasiliana... Mbona mkiwa mnatongozana na kutakana au kipind cha u bf na u gf mlikua mnapigiana.. why now.. ushajiuliza?
Sio wote hutongoza kwa namna hiyo usikalili ndgu yangu.

Na pale mwanzo mtu huwa na upofu, huenda hiyo tabia ilikuepo na mwanamke akawa ndie alikua anapiga sim sana.

Ila kwasababu ya external factors kaanza kuhisi kua kuna tatizo. Huenda upendo juu ya mwamba umepungua anaanza kutafuta sababu, ni mpweke hivyo anahisi hapendwi au mwamba ana mtu mwingine huko.
 
Ulimtoa wapi huyo mkeo na mimi nikaoe kwenye famili yao.

Huyu mleta uzi ana mapenzi ya mlengo mmoja yaani yeye anataka kupendwa ila yeye kupenda hataki.
Anataka kutimiziwa yeye kutimiza hataki.
Nilibahatika tu ndugu yangu, nahisi ni bahati tu kumpata.
 
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.

Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?

Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?

Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
communication is the two way system, ushanielewa, waeleewshe na wenzako,!
 
Mimi kupiga simu pia ni mvivu sana,

Kwa sababu nipo nae mbali huwa nijitahidi baadhi ya siku nikiwa narudi kutoka job napiga simu tunaongea mpaka nafika home.

Ila nikiwa home kwangu huwa siongei kabisa hata nkipigiwa na mtu mwingine huwa napatwa na uvivu wa kupokea.
Dah...brathee Nilijua Niko alone kwenye Dunia hii...the same to me..kupiga simu dah...labda niwe barabaran..nikiwa home au job sina hio mood...simu yangu kila siku naweka megabundles na DK ziko za kumwaga kuongea mpaka mwezi ila sio mpenzi at all
 
Wee ishi tuu hizi ndoa ukizifuatilia Sanaa utakuwaa kichaaaa....Tena Kama mpoo muda mrefuuu ndioo kabisaa mnachukulianaa poaa tuuu..
 
Kwanini mambo yetu ya ndani unaleta huku mtandaoni,tambua mitandao ina haribu sana ndoa mke wangu nilisha kuambia na kukukanya lakini bado huelewi kwanini lakini,hutoona simu zangu tena kwako.
 
Hili jambo mie lilileta ugomvi sana.

Kimsingi mie ni mvivu sana kupiga simu. Napiga simu tu pale ambapo naona ni muhimu kwangu. Kwa mfano nikisafiri napiga simu asubuhi kuuliza wameamkaje na mipango ya siku.

Baada ya hapo nitapiga simu usiku kuwa mmeshindaje na kiujumla mambo yalikuwaje?

Hili alikuwa hapendi but alikuja kuzoea. Mie mpaka wazazi wanajua hivyo.
Hata mieee sioo mtu wa kupiga simu...ni mvivuu kuongeaaa hivyoo watuu tunatofautianaa sana
 
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.

Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?

Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?

Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Frequence ya kupigiana simu kati ya wapenzi AU wanandoa inategemeana na haya yafuatayo, yote au mojawapo;
1. Ndoa yenu ina muda gani?
2. Mahusiano yenu kwenye mawasiliano yalikuwaje hapo kabla?
3. Mna formula yoyote mnayoifuata kwenye kuwasiliana? Let say, kila asubuhi, mchana na jioni AU mara moja kwa siku au zaidi ya hapo?
4. Nani huwa anaanza kumpigia mwenzie siku zote?

NB: Ndo hazina formula moja. Wengine hukaa muda mrefu au hupigiana simu panapokuwa na jambo kubwa tu..!! Kuna ndoa nyingine, wao ni kama mapenzi ya form two, zile za bebi umekula, poleeee..!!
 
Back
Top Bottom