Wanawake wanataka wapigiwe wao tu.Kwa nini wewe usimpigie? Baada ya dakika zake kuisha mkuuu
Wanawake wanataka wapigiwe wao tu.Kwa nini wewe usimpigie? Baada ya dakika zake kuisha mkuuu
Ulimtoa wapi huyo mkeo na mimi nikaoe kwenye famili yao.Sijui kuhusu yeye kama kuna shida mahala ama lah!!
Binafsi mimi ni mvivu kinoooma kupiga simu, huu ni udhaifu wangu, kuongea muda mrefu kwenye simu naona tabu,
Mke wangu yupo km 500 kutoka nilipo mimi, anajua kuwa hilo ni tatizo langu, imebidi siku hizi awe ananikumbusha fulani umewasiliana nae, umemjulia hali, haya wasiliana nae sasa hivi unipe mrejesho.
Kwake imekuwa si tatizo katika mara 20 tutakazo ongea kwenye simu basi mara 19 kapiga yeye, akiwa likizo kwa siku anaweza piga simu hata mara 5.
Nikimpigia anafurahi kuwa naanza badilika kwa ajili yake, ila nisipopiga sio kesi anajua ndio udhaifu wangu.
Kwanza ngoja nimpigie mara ya mwisho kupiga mimi ni majuzi aliponitxt nimpigie salio limeisha 😂
Taratibu unaanza kuipanda mbegu ya mashaka juu ya penzi la mumeo. Mbegu hii ikipata virutubisho na kustawi ni hatari sana kwa ndoa yenu. Ni vyema ujitahidi uiue hiyo mbegu haraka sana kabla haijaleta madhara.Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Nina mchumba yupo nje ya nchi,tunachat whatsap,whatsap col,muda mwingine video colHabarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
wala usipanikHabarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Dada tia salio mpigie wewe . yeye salio lake analitumia kwenye kufanya kukutafutia wewe pesa ishi vizuri wewe tia salio umpgieHabarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Sio wote hutongoza kwa namna hiyo usikalili ndgu yangu.Anakupenda kawaida tu hyo. Kiufup... Ukiona mapenz hayana mawasiliano mazur ujue kuna shida... Hzo sabab sjui mtu hapend kuongea na sim bla bla ni kujitoa ufaham tu ila kiukwel ni kwamba mtu mnaependana na kujaliana mtapigiana na kuwasiliana... Mbona mkiwa mnatongozana na kutakana au kipind cha u bf na u gf mlikua mnapigiana.. why now.. ushajiuliza?
Yaani hata nikimpigia mara mia kwa siku haijapunguza maana ya huu uzi wa yeye kutopiga, ishu ni yeye kutopiga simuJitahidi uwe unampigia yeye.
Nilibahatika tu ndugu yangu, nahisi ni bahati tu kumpata.Ulimtoa wapi huyo mkeo na mimi nikaoe kwenye famili yao.
Huyu mleta uzi ana mapenzi ya mlengo mmoja yaani yeye anataka kupendwa ila yeye kupenda hataki.
Anataka kutimiziwa yeye kutimiza hataki.
communication is the two way system, ushanielewa, waeleewshe na wenzako,!Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Im speechlessNimekupenda bure
Dah...brathee Nilijua Niko alone kwenye Dunia hii...the same to me..kupiga simu dah...labda niwe barabaran..nikiwa home au job sina hio mood...simu yangu kila siku naweka megabundles na DK ziko za kumwaga kuongea mpaka mwezi ila sio mpenzi at allMimi kupiga simu pia ni mvivu sana,
Kwa sababu nipo nae mbali huwa nijitahidi baadhi ya siku nikiwa narudi kutoka job napiga simu tunaongea mpaka nafika home.
Ila nikiwa home kwangu huwa siongei kabisa hata nkipigiwa na mtu mwingine huwa napatwa na uvivu wa kupokea.
Sasa unalalamikaje issue ya dakikaMm nampigia
Hata mieee sioo mtu wa kupiga simu...ni mvivuu kuongeaaa hivyoo watuu tunatofautianaa sanaHili jambo mie lilileta ugomvi sana.
Kimsingi mie ni mvivu sana kupiga simu. Napiga simu tu pale ambapo naona ni muhimu kwangu. Kwa mfano nikisafiri napiga simu asubuhi kuuliza wameamkaje na mipango ya siku.
Baada ya hapo nitapiga simu usiku kuwa mmeshindaje na kiujumla mambo yalikuwaje?
Hili alikuwa hapendi but alikuja kuzoea. Mie mpaka wazazi wanajua hivyo.
Frequence ya kupigiana simu kati ya wapenzi AU wanandoa inategemeana na haya yafuatayo, yote au mojawapo;Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.