Kupigiana simu kwa wanandoa

Kupigiana simu kwa wanandoa

Nazidi kujifunza kila siku. Wengi wetu hii mitandao tunaichukua kama kuenjoy na tunapita lakin naamin kama uko conscious utazidi kubadilisha mtazamo juu ya mambo mengi.

Nilikuaga mtu mwenye pride sana yani ile ile. Nilikua kama wewe ndugu mleta mada. Kungoja kutumiwa message..kungoja kupigiwa..na tena namaind kabisa nisipotafutwa..tables turned aisee. Mbona nilinyooka.

Nikajifunza maturity is a very complex topic. Kuna mengi ya kubeba na kuacha along the road. Kuna mwandish aliandika akasema kama unaona mtu umeshasema juu ya jambo fulan na habadiliki badilika wewe.

Mpaka kumkubali kuwa nae it means alifit kwenye vigezo vya kuwa mume wako. Na uliahidi meng madhabahuni dada mzuri. Kwaiyo hii ndo katika shida yenyewe. Naomba umpende kama alivyo msela..usimuache. change your perception. Unapata vocha mpigie..muongee. inakuuma ongea nae mwambie. Asipobadilika badilisha mtazamo. Ona ni kitu cha kawaida kabisa. Kama anafanya majukumu yake na kukupenda ila hilo tu ndo dhaifu..basi mbebe...ndo dhaifu lake. Kama katika 100% ana 80% hiyo 20% ndo wewe sasa utaicover..

Usimfananishe na wanaume wengine eti kisa umeona fulan anapigiwa au flani alikua anampigia mpenzi wake basi na wewe unataka ufanyiwe ivo. Love sio pie (3.14) kwamba inafanana duniani kote. Kila mmoja ana namna anavyoexpress penz lake. Nakuaminia dada....be smart, be unique. Be more than ruby.
Asante sana nimekuelewa mkuu
 
Sababu kama ipo basi bado sijaijua. Lakini mwanzo nilianza kupenda kupiga simu mimi na siyo kupigiwa badae nikaanza kuwa mvivu kupiga na hatimae nikaacha kabisa. Texts ndo kabisa mvivu kujibu. Sasa hivi napiga simu nikiwa nashida ya MUHIMU SANA, kupokea mara nyingi napokea namba ngeni maana nimeapply sana kazi
Polee sana kiongozi
 
Ndugu,
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.

Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?

Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?

Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
ndoa za sasa hivi, hata akituma huo ujumbe unashukuru. We mpigie si ndo wa kwako?
 
Mm tunawasiliana through sms lkn no call yaani hata ile kumiss sauti ya mke wake?
Aisee acha utoto, kwani sauti yako haijui. Kwenye ndoa au mahusiano ya muda mrefu huo ujinga nauchukia, inathibitisha bado unafikiri mapenzi tu. Akija mjinga mwingine akikutingisha kihisia kidogo tu basi utaiacha familia yako. Grow up
 
Hii ndo Shida ya wanaume mkishapata mnachotaka mbona wakati unamtongoza mkeo hukusubir akufuate akutongoze mwenyewe?
Wewe hujapata ulichotaka, kuna maisha baada ya uchumba. Mdogo wangu namwambia kabisa huo ujinga nisijesikia.
 
Nazidi kujifunza kila siku. Wengi wetu hii mitandao tunaichukua kama kuenjoy na tunapita lakin naamin kama uko conscious utazidi kubadilisha mtazamo juu ya mambo mengi.

Nilikuaga mtu mwenye pride sana yani ile ile. Nilikua kama wewe ndugu mleta mada. Kungoja kutumiwa message..kungoja kupigiwa..na tena namaind kabisa nisipotafutwa..tables turned aisee. Mbona nilinyooka.

Nikajifunza maturity is a very complex topic. Kuna mengi ya kubeba na kuacha along the road. Kuna mwandish aliandika akasema kama unaona mtu umeshasema juu ya jambo fulan na habadiliki badilika wewe.

Mpaka kumkubali kuwa nae it means alifit kwenye vigezo vya kuwa mume wako. Na uliahidi meng madhabahuni dada mzuri. Kwaiyo hii ndo katika shida yenyewe. Naomba umpende kama alivyo msela..usimuache. change your perception. Unapata vocha mpigie..muongee. inakuuma ongea nae mwambie. Asipobadilika badilisha mtazamo. Ona ni kitu cha kawaida kabisa. Kama anafanya majukumu yake na kukupenda ila hilo tu ndo dhaifu..basi mbebe...ndo dhaifu lake. Kama katika 100% ana 80% hiyo 20% ndo wewe sasa utaicover..

Usimfananishe na wanaume wengine eti kisa umeona fulan anapigiwa au flani alikua anampigia mpenzi wake basi na wewe unataka ufanyiwe ivo. Love sio pie (3.14) kwamba inafanana duniani kote. Kila mmoja ana namna anavyoexpress penz lake. Nakuaminia dada....be smart, be unique. Be more than ruby.
You are smart enough
 
tatizo matumizi ya simu kibongo bongo hatuna uelewa.
ukishamjulia mtu hali inatosha hayo mambo ya kutaka kuongea masaa au dakika nyingi haibadili chichote.

Nilishakua na mpenzi tulipendana sana ila akawa analalamika simpigii akaw awaza kua nilipo namcheat bas nkawa nampigia tunaongea mpka anaishiwa maneno nkikata tu simu navuta chombo nakizagamua alaf maisha yanaendelea bas yeye kisa kumpigia akawa anajiamini kua yuko mwenyewe.

Wanaume eehhhhh. hawa viumbe ni kuish nao kwa akili. anavyokuja ndivyo utakavyo mzingatia
 
Back
Top Bottom