Eddy Tarimo
Member
- Nov 27, 2016
- 27
- 38
Labda nianze kwa kukuuliza swali, je hapo awali alikua ana kupigia pigia au amebadilika alipoenda huko!? Mda mwingine unaweza kuwaza negative kumbe ndo life style yake wako ambao hawapendi kuchat wanapenda kuongea na wapo ambao hawapend kuongea wanapenda kuchat so before you judge him jarib kuangalia kma ame change au ndo alivo
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
