Anakupenda kawaida tu hyo. Kiufup... Ukiona mapenz hayana mawasiliano mazur ujue kuna shida... Hzo sabab sjui mtu hapend kuongea na sim bla bla ni kujitoa ufaham tu ila kiukwel ni kwamba mtu mnaependana na kujaliana mtapigiana na kuwasiliana... Mbona mkiwa mnatongozana na kutakana au kipind cha u bf na u gf mlikua mnapigiana.. why now.. ushajiuliza?Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu sio kwamba anafanya Kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama almost 2 months.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni sms tu sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utaskia dk zimeisha, sasa najiuliza dk zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake /waume /wapenzi wao wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume walioko serious na wake/wapenzi wao I mean wenye upendo wa Agape.
Duuuuh!!Mi tulianza ivoivo mpaka penz likafa, yaan anaanza simu, atakuja kukaa miez 6, mwisho atakuja na sababu nachoka sana ivo ndo maana sijisikii kusex Leo.
Watu hubadilika
Ndo ivo
Nikuambie tu Mkuu, kama mnawasilianakwa namna hiyo inatosha. Mambo ya ndoa yanautata sana, kuna jambo ambalo nyie mnavyolifanya na mnaliona la kawaida na huenda upendo upo ila mtu mwingine hapa JF atakuambia oooh mara unaibiwa mara blah blah..! Kwahiyo kama mnawasiliana kwa namna hiyo na hakuna shida nyingine acha kuyakuza bidada.Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Tunakupa maoni ili iweje? Unataka kumrekebisha mume wako? Anza kwako. Ukiamka asubuhi mpigie simu kwa zaidi ya dakika 20. Siku ifwatavyo fanya hilo zoezi. Atakuja kujitambua. Umuhimu wako. Lasivyo mnapotezeana muda bila malengoHabarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo kinaniudhi sana na akipiga kidogo utasikia dk. zimeisha, sasa najiuliza dk. zimeisha anaongea na kina nani?
Sasa swali langu kwa wanandoa hasa wenye upendo na wake/waume/wapenzi wao, wanaweza kaa hata siku 3 bila kumpigia simu mwenza wake, yaani ni kawaida au kuna shida pahala?
Naomba maoni yenu hasa kwa wanaume waliokuwa makini na wake/wapenzi wao, namaanisha wenye upendo wa Agape.
Tafuta kibenten akuondolee utoko, itaziba alfu uugue ufe uzikwe ikiwa nzima ina kilometa chache.Mi tulianza ivoivo mpaka penz likafa, yaan anaanza simu, atakuja kukaa miez 6, mwisho atakuja na sababu nachoka sana ivo ndo maana sijisikii kusex Leo.
Watu hubadilika
Yaani mara nyingi tukiongea ni mm nimepigaKwa nini wewe usimpigie? Baada ya dakika zake kuisha mkuuu
Ndo wa muhimu kuliko mke wake?Dkk anaongea na wafanyakaz wenzke
Uvivu upo kwa mke tu kwa michepuko mahodari kweliKuna wTu wavivu kupiga simu. So kwa ufupi Uwe unampigia simu ww
Mm tunawasiliana through sms lkn no call yaani hata ile kumiss sauti ya mke wake?Mi tulianza ivoivo mpaka penz likafa, yaan anaanza simu, atakuja kukaa miez 6, mwisho atakuja na sababu nachoka sana ivo ndo maana sijisikii kusex Leo.
Watu hubadilika
Tupo tz hii mkuuNje ya nchi njia bora ni kutumia whatsapp kwani hana?.
Kupiga simu ya kawaida ni ghali sana.
SawaUnaibiwa![]()
Mm nampigiaWanawake bhna. Yaani wewe huwezi kumpigia simu?