Kupendwa na kila mtu

Kupendwa na kila mtu

ukiona unachukiwa, basi ujue kuna sehemu umemzidi mtu kitu iwapo wewe si janga!!
 
Mie najipenda mwenyewe sisubir kupendwa na wala sihitaj kupendwaa maana siwez kumpenda mtu kama navyojipenda miee

mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe!!

hiyo ndio amri kuu!!

naona unaipinga sasa, jiangalie we mwanamke!
 
Kupendwa na kila mtu ni ngumu kwa sababu tunatofautiana mitazamo. Fanya yaliyo mema kwa watu wote hata wale wanaoonyesha kukuchukia kama upo kwenye position ya kuwasaidia wasaidie. Kumbuka binadamu hana wema , wanasema tenda wema uende zako usingoje shukrani.

Ukiwasalimia watasema tu na ukikaa kimya pia watasema. Hata ukiwasaidia wengine watakubeza na kukuona unajifanya unaweza. Ukivaa vizuri utaambiwa unaringa na usipovaa vizuri utaitwa mshamba na pesa unapeleka wapi au kwa waganga. Kwa hiyo jamii yetu ina mengi ukihisi kuwa unapendwa na watu wote utakua unajidanganya kwani wao wapo kimaslahi zaidi watakusifia hata kama umevaa gunia ili mradi yao yaende.
 
Jitahidi usipendwe na kila mtu ina madhara yake, jifunze toka kwa wanaokuchukua utajifunza mengi
 
Mie najipenda mwenyewe sisubir kupendwa na wala sihitaj kupendwaa maana siwez kumpenda mtu kama navyojipenda miee
''Mpende jirani yako kama nafsi yako''
Huwa natafakari msemo huu nakosa majibu...
 
haiwezekani kupendwa na kila mtu ni lazima watatokea KWA SABABU ZAO BINAFSI wasiokupenda...lakini mwisho wa siku SIO LAZIMA kupendwa na kila mtu..ili iweje? challenges utazipata vipi? hao wapo tu..wenye chuki binafsi....ni kuwafungia vioo tu na maisha yanasonga freshi kabisa....what matters ni kuwa hujagombana nao wala kumtakia yeyote mabaya, then u are safe hata mbele za Mwenyezi Mungu....afterall dunia ni mapito...
 
Watoto ni viumbe amazing sana....cute n very innocent....
Ila wakilia sasa ndio sipendi hata kuwasikia...au kumuona anapigwa...
So do i,nawapenda sn watoto ila watoto vilizi wananikera hasa niwapo na mambo meng kichwan na nahtaj utulivu
 
siamini kama kunakitu kupendwa na kila mtu. Tenda yote mazuri ila hata hayo kunawatakayoyapinga. Mungu (japo haonekani) mema yote anayoyatenda bado kunawanaomchukia sembuse wewe binadam.
 
Mfano mizuri iko kwa watu wako wa karibu.
Unakuta Mtu anasema neno baya juu yako ili mradi tu ukiose amani! Na watu kama hawa ykushawajua si shida tena.
 
Nipende tu lakin kila mtu hua anajipenda yeye,hamna mtu anaempenda mwingine zaidi ya yeye anavyojipendaa
Yeah nakubaliana. Kuna mdau alianzisha mada ya kuhusu mapenzi/upendo na ubinafsi, nimegundua si binadamu tu Bali hata viumbe wengine ni wa binafsi sana. Tunawapenda wenzetu kwa sababu zetu binafsi kwanza na si upendo kwanza, tunatoa kwa wengine ili tupokee zaidi. Hata kama hawawezi kuturudishia tunaamini Mungu atatulipa, ubinafsi. Tunapenda wenzi wetu wawe na sifa njema sababu ya ubinafsi wetu.
 
Yeah nakubaliana. Kuna mdau alianzisha mada ya kuhusu mapenzi/upendo na ubinafsi, nimegundua si binadamu tu Bali hata viumbe wengine ni wa binafsi sana. Tunawapenda wenzetu kwa sababu zetu binafsi kwanza na si upendo kwanza, tunatoa kwa wengine ili tupokee zaidi. Hata kama hawawezi kuturudishia tunaamini Mungu atatulipa, ubinafsi. Tunapenda wenzi wetu wawe na sifa njema sababu ya ubinafsi wetu.

Yaapp ni kweli yaan mi nakupenda wewe ili unifurahishe nafsi yangu sitak unichukize, sasa mfano mapenzi tungekuwa tunapendana tusingekuwa tunaachana,sis ni wabinafsi balaa kila mtu hujipenda mwenyewe asikwambie mtuu et watu wanakupenda kuna kitu wanataka uwafanyie si tunaona kwenye jamii zetu
 
True that...

Yaapp ni kweli yaan mi nakupenda wewe ili unifurahishe nafsi yangu sitak unichukize, sasa mfano mapenzi tungekuwa tunapendana tusingekuwa tunaachana,sis ni wabinafsi balaa kila mtu hujipenda mwenyewe asikwambie mtuu et watu wanakupenda kuna kitu wanataka uwafanyie si tunaona kwenye jamii zetu
 
Yaapp ni kweli yaan mi nakupenda wewe ili unifurahishe nafsi yangu sitak unichukize, sasa mfano mapenzi tungekuwa tunapendana tusingekuwa tunaachana,sis ni wabinafsi balaa kila mtu hujipenda mwenyewe asikwambie mtuu et watu wanakupenda kuna kitu wanataka uwafanyie si tunaona kwenye jamii zetu

exactly
YANI MI NAKUPENDA KWA KUWA UNANIPA FURAHA SIO KWA KUWA NAKUPA FURAHA!
PERIOD!
kinyume na hapo ni uongoooo!
 
Back
Top Bottom