hata mie naclick sana na watoto,nawapenda,i feel free and loved around them too, na maua napenda sana,vp Himidini?
Himidini umeadimika siku hizi,umefichwa?^^
Binadamu hatuna jema,
Ukiwapenda anajipendekeza,
Ukifanya mambo yako anajipendelea,
Ukifa mzee alichelewa kufa,
Ukifa mdogo, angekuwa rais huyu,
Ukioa mapema yatamshinda,
Ukichelewa kuoa, jamaa -------,
Uwe mpole anaringa,
Uwe mwongeaji muongo,
Ushinde jf hana kazi ya kufanya,
Uadimike jf amefichwa,
NDIO ASILI YETU BINADAMU.
..
Fanya lililo sahihi na Usimwogope yeyote au Kumdharau yeyote
^^
hata mie naclick sana na watoto,nawapenda,i feel free and loved around them too, na maua napenda sana,vp Himidini?
Mie napendwa sana na watoto.....
Napenda sana kucheza nao ila baadhi ya mda hata watoto ambao sina mazoea nao napata hi zao na tabasamu...
^^
Binadamu hatuna jema,
Ukiwapenda anajipendekeza,
Ukifanya mambo yako anajipendelea,
Ukifa mzee alichelewa kufa,
Ukifa mdogo, angekuwa rais huyu,
Ukioa mapema yatamshinda,
Ukichelewa kuoa, jamaa -------,
Uwe mpole anaringa,
Uwe mwongeaji muongo,
Ushinde jf hana kazi ya kufanya,
Uadimike jf amefichwa,
NDIO ASILI YETU BINADAMU.
..
Fanya lililo sahihi na Usimwogope yeyote au Kumdharau yeyote
^^
Inawezekana kupendwa na kila mtu?na inabidi mtu afanyeje ili apendwe na kila mtu? msaada wa maoni wana MMU. Upendo huu sizungumzii ule wa romance hapana, naongelea kule kukubalika kwa kawaida.
^^
Nafarijika sana! Watoto wadogo nawafatilia sana, muda ukifika Ntakushirikisha.
^^
Mie najipenda mwenyewe sisubir kupendwa na wala sihitaj kupendwaa maana siwez kumpenda mtu kama navyojipenda miee