Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Ofisini ninae wa aina hiyo, yeye ni -ke, uhusiano wetu ulianzia kwenye KIBANO cha interview ya UTUMISHI, tulifanya wengi, lakini tulibahatika kupata barua ya ajira, mimi na yeye tu!
Baada ya interview, mwanae umri wa kunyonya, alipigiwa simu, mtoto anasumbua, nikamuomba nimkimbize nyumbani kwake kumuwahi mtoto, alikubali! Tahgu siku hiyo, she's my best office friend!
Ni tunatoana lunch, tunaulizana uko wapi leo? mbona umesafiri kimya kimya, unataka kuninyima nyts? tunaazimana mpaka usafiri! tunaazimana hela! sina tatizo nae, na huko mbele likitokea la kutokea ntadeal nalo kama litakavyotokea! Na hapa muda si mrefu, tumetoka canteen ya COET kupata chai!
cc Kongosho Preta Kasinde
Baada ya interview, mwanae umri wa kunyonya, alipigiwa simu, mtoto anasumbua, nikamuomba nimkimbize nyumbani kwake kumuwahi mtoto, alikubali! Tahgu siku hiyo, she's my best office friend!
Ni tunatoana lunch, tunaulizana uko wapi leo? mbona umesafiri kimya kimya, unataka kuninyima nyts? tunaazimana mpaka usafiri! tunaazimana hela! sina tatizo nae, na huko mbele likitokea la kutokea ntadeal nalo kama litakavyotokea! Na hapa muda si mrefu, tumetoka canteen ya COET kupata chai!
cc Kongosho Preta Kasinde
Last edited by a moderator: