Kupendwa, Kujaliwa

Kupendwa, Kujaliwa

Sina hakika kama kichwa cha habari kinabeba nachotaka kusema, ndio maana nimeweka kama swali.

Kuna ile unaishi na majirani au ofisini, basi inatokea mtu anakujali kuliko wengine au anajaribu kutengeneza ukaribu kwa makusudi kabisa. Yaani unaona s/he is trying too hard kuwa karibu yako kwa kukuletea vitu au kila saa kukufuata na kuongea hata kama hakuna common interest.

Kama ndio majirani utasikia watoto wameletwa waje wacheze na wa kwako. Kama wakubwa basi wanatumwa kuja kukusaidia sijui nini. Mradi tu someone is all over you.

Na hii ipo pia kwenye shule za wasichana, mtu anakujaali bila sababu ya msingi, unabaki unashangaa anataka nini?

Sasa mie huwa nakuwa very uncomfortable, siamini kuna free lunch duniani kiasi hicho, sijui how to reciprocate kujali huko. Nakuwa naona kama mtu anainunua roho yangu.

Wengine huwa mna deal nayo vipi hii?

dah! uliposema kwenye shule za wasichana umenikumbusha nilikuwa na mdogo wangu wa kishule shule yaani alikuwa ananijali mpaka nikawa najiskia vibaya. angekuwa ni mvulana ningesema labda anataka penzi. mie ilibidi nijifunze kulipa fadhila. dogo alikuwa akipata shida kama nina uwezo nayo namsaidia, siku zingine namtoa. natamani nionane nae tena pengine sahv ningeweza kulipa fadhila zaidi. kiukweli konnie mtu akikujali namna ya kukabiliana nayo ni wewe kumjali zaidi.
 
dah! uliposema kwenye shule za wasichana umenikumbusha nilikuwa na mdogo wangu wa kishule shule yaani alikuwa ananijali mpaka nikawa najiskia vibaya. angekuwa ni mvulana ningesema labda anataka penzi. mie ilibidi nijifunze kulipa fadhila. dogo alikuwa akipata shida kama nina uwezo nayo namsaidia, siku zingine namtoa. natamani nionane nae tena pengine sahv ningeweza kulipa fadhila zaidi. kiukweli konnie mtu akikujali namna ya kukabiliana nayo ni wewe kumjali zaidi.

hata mimi enzi hizo njuka nishawahi kumpa dada yangu wa shule trakisuti mpya mi nikabaki sina etiii can u imagine huwa inatokea automatic hii hali ingawa kwa dunia ilipofikia mmmh lazima uwe na shaka mtu akikujali sana
 
hata mimi enzi hizo njuka nishawahi kumpa dada yangu wa shule trakisuti mpya mi nikabaki sina etiii can u imagine huwa inatokea automatic hii hali ingawa kwa dunia ilipofikia mmmh lazima uwe na shaka mtu akikujali sana

kiukweli inaleta mashaka ila nafikiri hiyo inatokana na namna unavyojibehave kwa huyo mtu/watu. dunia ya sahivi mtu akikujali ujue kuna kitu anataka. dada yako alikuwa kauzu. kaona huna nyingine lakini kaipokea hiyo. khaaa
 
kuna ----- mmoja samahani natumia neno ----- ,alimpa demu laptop na gari yeye akawa anapanda taxi au daladala
 
Mie yalinishinda kwa kweli, nikahama. Nimefika tu nikapigwa tongozo sijui anataka awe mama yangu, nikakubali. Basi nikawa napendwa mno, akinikuta usiku prepo kama sina sweta/koti anavua lake ananipa nivae, vizawadi mikate juisi na nini nini. Nkaona nisije kobolewa bure,


Ila kwa njia moja mapenzi hayo huchangia mahusiano ya jinsia moja, wengine hufikia point ya kukobolewa, kuna kabinti kamoja sijui kama papuchi ilibaki. Bora simba ale mie, si samaki asilani - Mr. Ebo.

dah! uliposema kwenye shule za wasichana umenikumbusha nilikuwa na mdogo wangu wa kishule shule yaani alikuwa ananijali mpaka nikawa najiskia vibaya. angekuwa ni mvulana ningesema labda anataka penzi. mie ilibidi nijifunze kulipa fadhila. dogo alikuwa akipata shida kama nina uwezo nayo namsaidia, siku zingine namtoa. natamani nionane nae tena pengine sahv ningeweza kulipa fadhila zaidi. kiukweli konnie mtu akikujali namna ya kukabiliana nayo ni wewe kumjali zaidi.
 
Back
Top Bottom