Khaaa ukinkera wewe dunia si imeisha??
Nimekumis ka koni ya sh 100
Koni tu? Njoo nikupe uilambe mpaka ukinai
Bora hizo, mnakaa bar, mnanunuliana kinywaji inaisha. Sio mtu anakuja na 'supriseee sijui chokleti au keki'.
Ayaaaaa... kumbe umeshasagwa!! Pole my dia.
Inategemea ntu na ntu...
Kuna watu ku care ni nature yao...kuna wengine lazima ujiulize...why me?
Yote kwa yote kupendwa raha...hasa kama unajua anayekupenda si mwekezaji...(hategemei profit yoyote kwako)...
Kuna dada mmoja ananipenda mpaka najishtukia...maana mi ni bonge la don't care... kwa hiyo naona kama nashindwa kurudisha fadhila...yani mpaka mtu unakuwa uncomfortable fulani hivi...
Kuna wengine walijaribu kunipenda wenyewe wamebwaga manyanga...sipendeki lol...labda uwe for real kama huyu mdada nayemsema...
Yani kwanza sipelekeshwi na plan za mtu yeyote...zile za twende sijui wapi leo...ujanipata bado...hapo utanipendaje?
Unaona eeh, ku care ni nature ya mtu, kuna wengine wanatamani urudishe japo kidogo.
huo u 'dont care' unawaumizaga wengine, anaona husomeki. Ukikua na kaka wengi ku care inakuwa tabu kidogo, unazoea kwenda kisela tu.
Kuna mmoja aliniambia niko mean, nikacheka tu.
Kuna zile mnatembea mmeshikana mabegani, wengine mikono, dah mie siwezi naona too fake.
Marafiki wapo tu, ambao mnaendana bila.kutumia nguvu.
Ahahaha.wanawake bana ukiwasikiliza huku unaweza kusema hawapendan,lakin huku mtaan wanavikundi kibao vya kwenda Brac na finca na wanaanzisha upato pia.lakin hapa hawapendi mazoea
Mi wanawake wote waninunie huwa sina shida.........lakini sio wanaume.........nitajitundika wallah.........
Napenda kuwa a free bird, sina timu wala nini.
Attachment mzigo wa miba.
Umeona eeh, bora kufanya yako kwa uhuru.
Binafsi hayo mazoea sitaki kabisa........hasa kwa sisi wanawake ndio kutafutana umbea...........
Ahahaha.wanawake bana ukiwasikiliza huku unaweza kusema hawapendan,lakin huku mtaan wanavikundi kibao vya kwenda Brac na finca na wanaanzisha upato pia.lakin hapa hawapendi mazoea