Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nimepata taarifa kwa rafiki yangu mmoja kwamba yeye na wenzake walipanga Tanzania lakini wanatakiwa kulipia Visa, baada ya kufungua mtandao wa Uhamiaji wanashindwa kupata huduma kila wakifanya kuomba wanapata error na muda wao wa likizo unakatika. Mimi mwenyewe nimejaribu kufuatalia nimekwama nadhani website haifanyi kazi au Kuna link ambayo labda wamebadilisha.
Kibaya zaidi mawasiliano yao ni TTCL na ukipiga namba haifanyi kazi, kwa mazingira haya unajiuliza hizi huduma za mtandao Tanzania zinaubora. Website inayotumiwa na watalii inapotezaje mawasiliano kwa muda wa mwezi kila siku inashindwa kufanya kazi hadi umalize kuomba visA. Je wizara ya mambo ya nje kwanini isitoe Tangazo kupitia Ubalozi wetu huko nje kwamba mtandao wao unashida ili watu waombe kwa kufika ubalozini?
Wanaohusika kwanini wanashindwa kutoa public notice pale kunapokuwa n tatizo? Mgeni akijaribu kuomba visA akakwama anajaribu website nyingine ya nchi nyingine je atupotezi watalii? Mimi nimepta taarifa za huyu ndugu zangu je wangapi wanapata shida?
Uhamiaji, mambo ya nje na utalii rekebisheni haya
Kibaya zaidi mawasiliano yao ni TTCL na ukipiga namba haifanyi kazi, kwa mazingira haya unajiuliza hizi huduma za mtandao Tanzania zinaubora. Website inayotumiwa na watalii inapotezaje mawasiliano kwa muda wa mwezi kila siku inashindwa kufanya kazi hadi umalize kuomba visA. Je wizara ya mambo ya nje kwanini isitoe Tangazo kupitia Ubalozi wetu huko nje kwamba mtandao wao unashida ili watu waombe kwa kufika ubalozini?
Wanaohusika kwanini wanashindwa kutoa public notice pale kunapokuwa n tatizo? Mgeni akijaribu kuomba visA akakwama anajaribu website nyingine ya nchi nyingine je atupotezi watalii? Mimi nimepta taarifa za huyu ndugu zangu je wangapi wanapata shida?
Uhamiaji, mambo ya nje na utalii rekebisheni haya