Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,515
Mhhhh!!!!, Kwel???.
Mhhhh!!!!, Kwel???.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134],Heeee!!!, Mbona umekuja juu sana?!!.Acha upumbavu wako wa kukariri matukio. Nisikuone mbweha mfu.
Ah thubutu yake, hata kama Simbachawene shemeji yako haupati kwa namna hiyo!!!!Una haraka ya kukimbilia wapi....wewe fuata njia sahihi chini ya siku 7 unapata passport yako. Tena wakati mwingine unapeleka leo document, kesho unapata
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Hv unaanzia wap ukihitaji passport? Na ni documents zipi huhutajika?Passport inachukua siku 10 mpaka kutoka, fuata procedure za kawaida utaipata bila wasi wasi