Hivi mke wa Paw humu ndani ni nani?? Loh btw-hongera sana mkuu mungu awakuzie na mumlee katika maadili mema.Best wishes
Hongera sana Paw, ni furaha sana kuona fotokopi yako duniani.
Na kiukweli furaha hiyo huzidi na huwezi ona mzigo kulea.
King'asti mbaya sana, hujanishirikisha?
Natoa twisheni ya kuogesha vichanga, kufunga pampazi, kuwavalisha, na kunyonyesha usiku bila kuchoka.
Mkimnunia King'asti wangu mjue mmeninunia miye
hahahshaha si bora juwisi ya yeboyebo!ningekuwa na bunduki ningekupiga ujue?!
Unadhani kuwa na mimba raha? Unakuwa kama juisi za yeboyebo.
Yaaani huyo uliyemtaja ndio hovyoooo mwili mzima.....khaaaa!!!!?????
Paw hongera kwa majaaliwa hayo, pia jitahidi baada ya mwaka unaongeza mwingine...! weka malengo endelevu...nami nilifanya hivyo!
ningekuwa na bunduki ningekupiga ujue?!
Unadhani kuwa na mimba raha? Unakuwa kama juisi za yeboyebo.
ningekuwa na bunduki ningekupiga ujue?!
Unadhani kuwa na mimba raha? Unakuwa kama juisi za yeboyebo.
nasisitiza tena Paw, ikiwezekana akimaliza miezi 3 atoke na nyingine, Kongosho wajua haya mambo hadi unafikisha 40 nk eti unazaa, unazaa nini? una unganisha ikiwezekana kabla ya 40 umemaliza mambo ya kuzaa unaanza kula maisha....!
Kongosho nakwambia mimi nimeunganisha balaa nina 16 years 8 years,5 years ,3years na 4 months nimemaliza!
Ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno. Hebu utuwache tulee sie. Hivi ile dawa ya kutiririsha madhiwa inaitwaje tena?
Mkuu mi nikajua pacha wa nje!!!!!
Kumbe tukiitwa "wa mwendo kasi" we usije!!!
nasisitiza tena Paw, ikiwezekana akimaliza miezi 3 atoke na nyingine, Kongosho wajua haya mambo hadi unafikisha 40 nk eti unazaa, unazaa nini? una unganisha ikiwezekana kabla ya 40 umemaliza mambo ya kuzaa unaanza kula maisha....!
Kongosho nakwambia mimi nimeunganisha balaa nina 16 years 8 years,5 years ,3years na 4 months nimemaliza!
hahahshaha si bora juwisi ya yeboyebo!
unakuwa kama kashata za sukari guru!