Nimemnunia hadi uzeeni.
Nakesha kumsaidia kumuogesha mtoto na kumbembeleza usiku maana najua mchana ni zahama la kunyonyesha hivyo mama anachoka sana.
Itakuwa vyema nikiongeza darasa kwako
Heading hapo juu inasomeka kama haijakamilika vile.
Inawezekana kila mwanaJF akawa amejenga picha yake na uelewa kuhusu hili neno Kupata Mtoto
Mtoto ni tunu na furaha ya wazazi, ingawa inawezekana wazazi hao wakawa wapo ktk mahusiano rasmi ya ndoa, mchepuko na kadhalika. Lakini si mara zote mtoto anafurahisha wazazi. Pata picha ya wazazi ambao kwanza ni wanafunzi kisha tegemezi kwa wazazi/ walezi wao ambapo inawezekana walitamani kuuchoropoa ujauzito bila mafanikio lakini hatimaye wamepata mtoto ambaye labda mzazi mmoja kamkana tangu alipotaarifiwa ama wote hawana amani na ujio huo.
Hakika pia ninashangazwa na wingi wa watoto kwa wazazi ambao uchumi wao ni tia-maji tia-maji na cha kushangaza ni kuwa hawakosi chakula cha kuwalisha watoto wao na kadhalika. Hivyo naamini sasa kwamba mtoto huja na baraka maalum. Sishawishi uzazi usio na mpango.
Pamoja na hayo mtoto anabaki kuwa na haki zote za msingi yaani ulinzi na malezi kutoka kwa wazazi/ walezi wake.
Ninafuraha kuwatabainisha kwamba nimekuwa miongoni mwa wazazi rasmi wenye furaha iliyotajwa hapo juu.
out of topic hiyo rangi ya blue inaumiza macho
Subiri Ban muda si mrefu..!
Subiri Ban muda si mrefu..!
Hongera sana Paw karibu #team_wazazi .
Subiri Ban muda si mrefu..!
Paw hongera kwa majaaliwa hayo, pia jitahidi baada ya mwaka unaongeza mwingine...! weka malengo endelevu...nami nilifanya hivyo!