Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha

Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha

Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?

Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?

View attachment 1284152
Na wale waliokua wanapanda coasters za kukodi na Noah na mabasi mabovu ni kina nani ? Acha ushamba unaongelea voug range wakati passo yenyewe huna kauli za majivuno tu kweli maskini haishiwi ndoto
 
TheChoji,

Nani anaendaga interview these days?

No one!

Plus hakuna mpumbavu anasafiri 14hrs!

Mabasi yanasafiri 5-7 hrs tops kufika Moshi

Leo treni mavi yenu imewapa 14hrs,kesho itawapa 24hrs

Next week ni 48hrs

And then likitoka hapo ni gereji moja kwa moja

Mkae na mbuzi na ng’ombe kwenye economy class!

Leteni bullet trains then you can come talk to me!

Hold my beer!

Mkuu mbona una hasira sana na matusi wakati hapa tunajadili tu au umekua ugomvi sasa? Kama we hupandi acha, mabasi bado yapo unaweza kuendelea kupanda boss. Na usiite watu wapumbavu wakati wewe binafsi huwasaidii kwa lolote kwenye maisha yao. Unaonekana huna kitu kichwani ndio maana unaongea pumba tu. Dunia nzima usafiri wa treni ndio unaotegemewa wewe unaleta blaa blaa zako hapa.
 
Leo inawapa 16hrs which is nonsense!

Mabasi luxury ni 5-8hrs top umefika Moshi

Sasa kesho hilo gogo litawapa 24hrs

And baada ya three trips ni back to 48hrs

And then mwezi ukiisha ni geregi moja kwa moja

We unaonekana hata moshi hujawahi kufika. Hebu niambie ni basi gani hilo linalofika moshi kwa 5 hours? Kwamba mtu akitoka dar saa 12 asubuhi anakua amefika moshi saa nne asubuhi?
 
Nani anasafiri masaa 14?

Kwenda Moshi ni masaa 4-7 full stop!

Na ni luxury coaches na sio vyuma chakavu hivyo!

Leo mmepata abiri kurudi wote wanarudi na mabasi

Nani apakie usenge huo?

Plus leo mmepata 14hrs,next trip ni 24 hrs and then trip ya tatu ni 48hrs

Trip kumi ni gereji moja kwa moja halirudi tena mpaka miaka 24 again!

Fvck yall motherfuckers!
Nawasikitikia wazazi wako, bora wangevaa kondom tu.
 
Mkuu wengine ni utalii tu hata mimi nitafanya safari ya kwenda Moshi just kuexperience usafiri wa treni,mara ya mwisho kupanda treni ilikuwa mwaka 1984.
Sikutaka kumjibu mpaka nione kama kuna aliyejibu kama ambavyo nilitaka,mkuu mimi pia hupanda treni mara nyingi nisipokuwa na haraka cha msingi huwa nahakikisha nina pocket money ya kutosha.

Nitakula na kunywa kule buffet,nitasoma kama ni kitabu,nitashangaa huko mapolini na nitalala pia bila pressure kupanda na kushuka kama huko kwenye barabara zilizojaa magari mabovu na madereva vichaa..
 
Usafiri wa treni (gari moshi) ni usafiri bora, nafuu na salama. Bilashaka wanaolia ni wafanyabiashara ya mabasi.
 
Wewe Ndio mshamba tren zipo kila Nchi Duniani

Masaa 16 hadi Moshi kwa elfu kumi na sita hapo abiria ana save zaidi ya elfu 15

Acheni kujifanya nyie mna jua sana
Since nimejiunga humu leo ndio umeongea chamaana sasa kunywa soda kokote nitalipa ukinywa beer silipi. 😂
 
Wewe Ndio mshamba tren zipo kila Nchi Duniani

Masaa 16 hadi Moshi kwa elfu kumi na sita hapo abiria ana save zaidi ya elfu 15

Acheni kujifanya nyie mna jua sana
Ajili ya ki-ccm hii. Unaona ni ujanja kutonunua chungwa Kimara kwa kuwa linauzwa 200 ili ukanunue Kariakoo kwa 100.
 
Since nimejiunga humu leo ndio umeongea chamaana sasa kunywa soda kokote nitalipa ukinywa beer silipi. 😂

Seriously? Na wewe unakubaliana nae kuwa kuna hiyo saving? Umejiuliza atatumia kiasi gani kama incidentals kwa muda wote huo wa saa 16?
 
Hawa ni vijana wa mafiosoo Mbowe wanashinda kinondoni kupiga porojo
We unaonekana hata moshi hujawahi kufika. Hebu niambie ni basi gani hilo linalofika moshi kwa 5 hours? Kwamba mtu akitoka dar saa 12 asubuhi anakua amefika moshi saa nne asubuhi?
 
Hivi magari ya kutoka Dar kwenda Moshi si mengi?? Kwa nini wanateseka masaa yote hayo?? Nafikiri kwa nchi nyingine treni inapunguza muda wa kusafiri ila imekuwa tofauti kwa wenzetu Wachaga
Wachagga wanahujumiwa bila kujijua. Huu mfumo ni wa zamani sana kwa kweli.
 
Unasema 'Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha. Hayo mabenz...mliyokuwa mkipanda yako wapi?' Haya ndiyo mawazo yanayotufanya tusiendelee. Yaani unaendesha benz ili tu watu wakuone. Wenzetu Ulaya wanasafiri kwa mabasi na treni kubana matumizi. Ukikuta watu kwenye kituo cha basi mjini London siyo kwamba hawana magari. Anaendesha gari mpaka kituo cha basi; anapaki hapo na kupanda basi kwenda kazini. Jioni anakuja anachukua gari lake na kurudi nyumbani. Wanaokwenda mbali zaidi wanapanda treni. Hela anazoziokoa anazitumia kwa shughuli zingine za maendeleo. Hiyo pia inaokoa mazingira kwa kupunguza moshi kwenye hewa; ajali zinapungua kwa kuwa magari ni machache zaidi; n.k. Sasa wewe na benz lako eti unataka wakuone watu. Hiyo haina tija. Ungeweza kufanya shughuli ya maana zaidi kwa hizo fedha unazookoa kwa faida yako binafssi na ya nchi nzima kwa ujumla. Kama utawekeza hizo fedha unazookoa kwa shughuli fulani ukaajiri mtu hiyo ni faida ya nchi. Tuondokane na mawazo yasiyo na tija.
acha basi kuwaza mambo usiyoyajua, ni nchi Gani Ulaya wanasafiria treni kama hiyo ya Dar To Moshi?
Au umekurupuka tu kiongozi,
Possibly unavyosikia Ulaya wanasafiria treni unajenga picha ya hizi ngarangara za huku...
 
Back
Top Bottom