njoo inbox nikusikilize vizuri inaonekana una tatizo kweli!Mods usionganishe uzi huu ni msaada wangu mwenyewe
Mimi ni kijana nipo na 19years sijawahi sex na pia nina mchumba ila nadra sana kuonana nae inaweza pia miezi hata minne hatujaonana
Hii imetokana na tabia yangu au malezi yangu ambayo kama sina issue nakaa tu ndani home mwenyewe tu
Japo manzi anataka tuonane ila nasikia uvivu kuzurura na issu hainipi hata pesa
Nikejaribu sana kuacha huuu mchezo ila nakwama sehemu moja wakati wa kulala nikishaongea na mchumba saa 7 au 8 akili inanijia natafuta gif za sex hasa za mdomo japo zamani nilitumia anal ila nilipambana kujiaminisha huo ni uchafu na nashukuru now nikiona hata x ya namna hiyo hainivutii sana
Hua sifanyi kila siku ninaweza kaa siku 4 mpk 12 kwenye progress yangu ila mwisho wa siku naangukia kulekule jana nimejilipua na progress yangu iliyokuwa 8days nimechoshwa sasa na hii tabia
Kila nikiingia kitandani usiku mnene mawazo mabaya yananijia
Ten bora sasa hivi nafanya moja zamani nilikuwa naenda hata bao tatu kwa pamoja
😔😔😔😔 Msaada wenu
🤣🤣🤣🤣Wewe mtoto wewe unataka kutujadilisha nini sisi mama zako na baba zako?
Kuwa na adabu.
Nipo chuo mambo ya shule umesema weweShule hazijafungwa means umeingia shule na simu na kuificha chini ya godoro au umeiba simu ya dada yako upo day schol? Unaleta story za kipuuzi hujui baba na babu zako unatuaibisha au wewe ni yule afande mchele?
Daah! Ahsante ndio raha ya kuwa na watu wanayojua maishaDalili za ulijali hizo, hongera. Wengine hata waone K ngoma hata haishtuki
Weee na miaka yangu 19 namlisha nini?Tafuta mke uoe
Ahsante sana kwa ushauri mana naona hata mimi kuacha ni mzikiUrijali uo, Nyeto ni nature ya kila mwanaume rijali pale anapokuwa na nyege afu huna demu ila ukiwa na demu utapunguza kupiga au hautapiga kabisa.
Jitaidi kama unapiga nyeto upige kwa kiasi na upige pale unapokuwa na nyege sana usipige kama chakula.
Yeeees
Nilikuita?Wewe mtoto wewe unataka kutujadilisha nini sisi mama zako na baba zako?
Kuwa na adabu.
mie ni roboti, synthetic AIKwani wazazi wako waliposhiriki mapenzi walipata gono ndo ukazaliwa?