Kupajua nyumbani tu, anataka nimuoe

Kupajua nyumbani tu, anataka nimuoe

duuu mchaga cna hamu naoo nahis epsod 2 inakuja usisahau kutuelezaaa
 
dalalitz

First of all, im not a kid and not a coward, you have no idea of tha type of life i live or going through and i have already made my decision over a year ago, im just sharing my experience here.issue is sipendi kua a source of someone's pain and suffering.Put urself in tha shoes ya yule mwanamke nliyemuacha...try to imagine yuko katika hali gan.?

Tumeumbwa tofauti, sometimes huwa nakua mkatili sana in my daily grind issues but kwa yule mwanamke ni wazi nimemkosea na nilazima niwe na huruma...kuchezea feelings za mtu is no good thing at all.

Akifanya kitu cha kudhuru maisha yake.unafikiri ntakua katika hali gani mm nliyemsababashia hayo matatzo ?? Think of her well being and future....its easy to talk and brag out loud in here.Think before u post.

sure, think before u post (a subject) lol
 
Usikurupuke kuropoka/kupost kama mwanamke wa manzese umesoma vizuri thread ukaielewa ??.

..du!!sasa hizi hasira..ama umemaanisha???wamekufanya nini wanawake wa manzese.??
 
..du!!sasa hizi hasira..ama umemaanisha???wamekufanya nini wanawake wa manzese.??

Yani ana hasiraa kaka yangu huyu...ukileta thread humu lzm ukubali positive na negative attitude za watu...n ofcz lengo la hii thread ni nn..kutupa taarifa au kutuomba advice...
 
.........i had fallen for her completely siambiwi, sielezwi sishkiki nimepigwa shoti, nikafa nikazikwa kwake.Sasa najiuliza ivi ni ndoa zote zinafungwa hivi kibabe, zinakuja naturally au ni makubaliano. Maana ni balaa sana, maana nikiwaza naona kama picha la kihindi.

hqdefault.jpg
 
alikudanganya bikra uku sio ukioa ujue utakua unagongewa sana maa apo hakuna mapenzi ila kuna ushenzi boy
 
Pole tena pole sana, ukirudi mwangani utashaurika ila ndio itakua too late...."Mwanamke mwenye mapenzi ya that na anayejiamini hadai ndoa kwani anajua ipo kwa ajili yake" Huyu ni laghai my friend... akishapata ndoa utarudi na mada hapa jukwaani kila uchwapo... Take my words.
 
Pole tena pole sana, ukirudi mwangani utashaurika ila ndio itakua too late...."Mwanamke mwenye mapenzi ya that na anayejiamini hadai ndoa kwani anajua ipo kwa ajili yake" Huyu ni laghai my friend... akishapata ndoa utarudi na mada hapa jukwaani kila uchwapo... Take my words.

OK.. Ni Sabab zp zinakufanya uamini hvyo ?? Just try to give a more analytical view.
 
Yani ana hasiraa kaka yangu huyu...ukileta thread humu lzm ukubali positive na negative attitude za watu...n ofcz lengo la hii thread ni nn..kutupa taarifa au kutuomba advice...

Sikiza bana....kuna a huge difference between ushauri na kejeli za watu humu....kuna watu wameshauri kivingine na ninachokiamini sikua mkali by anyhow. Issue kejeli na dharau sipendi. Achilia mbali utani na masihara yanajulikana and im cool wit it.
 
Sikiza bana....kuna a huge difference between ushauri na kejeli za watu humu....kuna watu wameshauri kivingine na ninachokiamini sikua mkali by anyhow. Issue kejeli na dharau sipendi. Achilia mbali utani na masihara yanajulikana and im cool wit it.

Okeeey😀😀😀:beer:
 
..du!!sasa hizi hasira..ama umemaanisha???wamekufanya nini wanawake wa manzese.??

Pita pita za maisha....lazma ukutane nao....kuwatolea mfano si lazma wawe wamenifanyia kitu flan.
 
Okeeey😀😀😀:beer:

Lakini lets be honest....ivi kweli 3 years ya kumchunguza mtu in detail...bado kweli haitoshi mm kuridhika na nyendo zake na kuamua kumfanya mke ??

Watu wanaponda humu perhaps wamekwisha umizwa sana na wapenzi wao....i kno, feel and understand it.....alaf wanaoponda wengi ni women cz i do kno wanawake hawapendani perhaps donge linawauma kwa mwenzao. Lol

Tofauti za kibinadam zipo sikatai but a woman who has like 78% of tha things and qualities i want....a woman wit standards and good morals....

vitu ambavyo kwa muda huo nimeviona kabsa ni real kwake na ha fake chochote, a woman who can live a life of anytype asiyekua na tamaa za kishamba na sio mpenda anasa. A woman who always talks and does things to build our life and home together no matter tha costs....achilia mbali familia yao ni ya watu wenye maadili, wenye hofu na Mungu yet very successful and humble.

I'M SORRY GUYS....NASEMA HIVI HUYU MWANAMKE SIMUACHI NA NITAMUOA, NITAISHI NAE NA KUMPENDA KWA MOYO WANGU WOTE. Ewe MWENYEZI MUNGU NISAIDIE. #AMEN .
 
Back
Top Bottom