Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,702
- Thread starter
- #81
raha ya mwanamke wa kuoa ni yule una PROPOSE, anaringa kidogo, anacheka then mnapanga mikakati ya ndoa. Sio hujatamkiwa, ushakusanya mabegi, masanduku, lumbesa, viroba utadhani unaenda kupata mgawo wa Eskrow unahamishia kwa boyfriend.. halafu unatangaza posa inakuja wakati mwenye kuoa hana habari kama anaoa, anayejua kuna ndoa ni muolewaji pyuuuu....!!!
I didnt expose much of tha story here....plus u weren't there or witnessed when i was tryna win her heart. Hujui ni challenges zipi alinipa...plus alivyonipasua kichwa kipindi cha karibuni hapa...but all in all we make it through all the obstacles and can never split....
Nlishawahi andika thread humu jinsi alivyoni challenge nd felt lost...but nlijua chanzo nd its sorted.
Subiria mualiko wa harusi. Lol