Kupajua nyumbani tu, anataka nimuoe

Kupajua nyumbani tu, anataka nimuoe

beestito bora umemwagia ya ukweli huyu ndugu yetu kakayetu kwani kama kichwa chake nazi shaurire atajuta kuzaliwa

hata mm nimeona yule wa kwanza ndo wife material lakini huyu wa pili majanga matupu kama anajifanya anaomuoa ili mtoto huyu asijisuicide basi ajue anajitafutia mabalaa bora aoe chaguo lake la moyoni lakwanza kuliko mtu anayejipeleka mzimamzima na kuamia kwake utadhani ndo ametafutiwa chuumba na dalali mweeee

Hypocrite....ivi a few days ago ulikua unaniambia maneno gan ?? Daah...
Hahaha Hebu Give me a break woman...
 
hypocrite mwenyeweeee uliyekuwa kipofu usiyeona majani ya juu
ni afadhali ya twiga ataona majani ya juu kulikio ya tembo mwenye mwili mkubwa na wala asing'amue kitu
Hypocrite....ivi a few days ago ulikua unaniambia maneno gan ?? Daah...
Hahaha Hebu Give me a break woman...
 
hypocrite mwenyeweeee uliyekuwa kipofu usiyeona majani ya juu
ni afadhali ya twiga ataona majani ya juu kulikio ya tembo mwenye mwili mkubwa na wala asing'amue kitu

Hahaha Ok.. Umeeleweka.
 
You've nit finished your story. Did you marry her?

Yaaani hilo swali ndio nilikua nataka kuuliza, nikaona acha nipitie kwanza isije ikawa tayari limeshaulizwa!
Manaake habari yenyewe ni ya miaka mitatu iliyopita kama sikosei.
 
Mkuu kwanza apo umeonesha uzaifu kama mwanaume, mwanamke awezi kukushinda ujanja, aiwezekani eti mwanamke amekukonvisi uwe nae ninaweza kusema iyo ndoa kama itafungwa sisi maamuzi yako bali ni circumstance fulan fulani zimepelekia mpk ifungwe iyo ndoa. Mbali na ayo umemwacha binti wa watu maskini cjui ulimwaidi utamuoa mbaya zaidi umemwacha bila kosa la msingi si mbya mkuu ila nina mashaka na iyo ndoa yako na kama uyo mdada ni mmachame imekula kwako.
 
Most of the marriage s today get problematic, why? Because of family problem.Yet I refer genesis 29.28 (story of Jacob, Leah and Rachel).For every men with happy and success ful marriage must have been think about it to get in.always salute to all women who know that thry are type of cows and not sheep's .....
 
Most of the marriage s today get problematic, why? Because of family problem.Yet I refer genesis 29.28 (story of Jacob, Leah and Rachel).For every men with happy and success ful marriage must have been think about it to get in.always salute to all women who know that thry are type of cows and not sheep's .....

Andika kiswahili tu utaeleweka kuliko kuhara mimavi ya bata hii ukidhani unaandika kiingereza
 
wa kichaggaaa....totoz.....big up

kanikazia macho anasema mi ndio nimeitoa nd that ni lazima nimuoe lasivyo anajiua amekomaa :yo:

mwenyewe kito...mbiii watafuta virgin...bora hata alikukazia mimachooooo
 
Andika kiswahili tu utaeleweka kuliko kuhara mimavi ya bata hii ukidhani unaandika kiingereza

Excuse me little boy,am not even thinking to limit myself for what you want.you can pass my comment silently.
 
wa kichaggaaa....totoz.....big up

kanikazia macho anasema mi ndio nimeitoa nd that ni lazima nimuoe lasivyo anajiua amekomaa :yo:

mwenyewe kito...mbiii watafuta virgin...bora hata alikukazia mimachooooo

Hahahaha nimecheka sanaaa.
 
Mkuu kwanza apo umeonesha uzaifu kama mwanaume, mwanamke awezi kukushinda ujanja, aiwezekani eti mwanamke amekukonvisi uwe nae ninaweza kusema iyo ndoa kama itafungwa sisi maamuzi yako bali ni circumstance fulan fulani zimepelekia mpk ifungwe iyo ndoa. Mbali na ayo umemwacha binti wa watu maskini cjui ulimwaidi utamuoa mbaya zaidi umemwacha bila kosa la msingi si mbya mkuu ila nina mashaka na iyo ndoa yako na kama uyo mdada ni mmachame imekula kwako.

Soma thread na my posts upya uzielewe kwa kina then rudi kutoa comments.
 
Back
Top Bottom