UMBWE1
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 796
- 779
Je hujui kwamba binti akitaka kuolewa atakuahidi kufata vyote na atakua such an angel...
Naungana na lara1 ameongea ukweli...
Ujue huyu anataka ndoa she is ready to do anything sasa hivi ili umuoe.
A relationship based on a lie is not a good relationship.. kama alikudanganya she is virgin to get u what makes you think that she is pottering the real her?!
My perception is that all she wants is marriage so don't be fooled by what she is doing sasa hivi. Mpaka atangaze ndoa mwenyewe hushtuki tuu na hujamwambia?!
What makes you think you can control her or rule her.. tena na mifumo dume yetu kichaga naona kama utakoma.. pasua kichwa huyu usidanganywe na macho ya huba na ujuz wa mambo utalia umkumbuke uliemtema.. kumbuka sio kila anaetaka kuolewa is ready for ndoa wengine wanataka haurusi tuu na tittle tuu..
Coming from a Godly family doesn't make one holy?! Being classy and educated doesnt guarantee you that she will be a good wife there is alot more to being a wife..
Be careful.
Kwa maoni yangu bora kumuoa mwamke anayeonyesha anataka kuolewa kuliko kumbembeleza mtu anayejihisi anaweza kuishi bila mwanaume.mtu kuficha tabia yake kabisa ni ngumu sana lakin vile vile hakuna mwanamke aliye malaika na ukitaka kumuoa mtu wakati mwingine unaangalia familia yake ni watu waaina ghani hivyo vyote jamaa kaviona vingine mnavyosema ni story tu.