Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,592
- 19,853
Ndoto za aina hii niliziota Sana nikiwa mdogo mpaka ikafikia nikawa naogopa usikuBora wewe unaota upo shule, wenzako tunaota tunakimbizwa na sungusungu wa kijiji halafu kila ninapijificha wananifuma.! 😎
Wakati mwengine Simba, mbwa Yaani hekaheka mpaka kunakucha
Unahitaji msaada wa maombi mkuu, nitakupa namba uwasiliane na Muinjilisti fulani ni mwanamke. Anaweza akakusaidia.Kuhusu ndoto ya shule ya msingi ni kawaida tu huwa naota tupo darasani n.k
Ila Kuhusu ndoto ya kuota kijijini kwetu nakumbuka ndoto mbili,
-kuota nimekamatwa na polisi huku nimevaa mavazi ya wafungwa
-Kuota nipo na mama,baba tunatoka kulima kwenye mashamba ya watu.
Binafsi nadoubt kwa sababu mambo yangu yakiwa yanaenda vizuri huwa sioti hivo,huwa naota hivo pale tu mambo yangu yakiwa yanaenda vibaya kama kipindi hiki.
Haha, aisee pole sana hii kuna kipindi zilifululiza sana kwangu saiv sizioti tenaBora wewe unaota upo shule, wenzako tunaota tunakimbizwa na sungusungu wa kijiji halafu kila ninapijificha wananifuma.! 😎
Wakati mwengine Simba, mbwa Yaani hekaheka mpaka kunakucha
Kaka pole sana, ukipata ufumbuzi usinisahau maana naona kama tumepanda boat mojaNilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,
Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌
Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback
Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔
Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,
Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa
Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
we ni chizi 😀Na ile ya kupaa angani, na kudondoka kama kitenesi bumping inakua raha
Hujawahi kuziota ndoto za aina hiyo au huoti kabisa?Hua nashangaa nashangazwa na watu wakisema wameota hizo ndoto mimi binafsi sijawahi kabisa kuziota
Tenawe ni chizi 😀
Nakazia sana hapa, hakuna la zaidi ya hapoHizo ndoto kuziota ni jambo la kawaida kabisa , hata kama umefanikiwa mambo yako unaweza ziota tu.
Tafuta tu sababu nyingine ya kupambana, kama asilimia kubwa ya watu duniani wanavyofanya ila kuhusu hizo ndoto hazina maana yoyote.
Basi sawa we fanya kunihurumia inatoshaHaha, aisee pole sana hii kuna kipindi zilifululiza sana kwangu saiv sizioti tena
Sijakuelewa jombaaBasi sawa we fanya kumi humia inatosha
We unadhani watu kwenye viti virefu wapogo na nightmare.!?Sijakuelewa jombaa
sasa unasikia raha gani wakati unapigiza chogo chini?Tena
Sasa ndotoni wapigizajesasa unasikia raha gani wakati unapigiza chogo chini?
Ndoto ni spiritual thingNi kumbukumbu tu ambazo mtu alipitia kwenye maisha yake , na zote zimetunzwa kwenye ubongo, kama memories zako zipo vizuri unaweza ota mambo mengi tu hata ya utoto
I wish kungekuwa na option ya voice note...hapa duh...Kuhusu ndoto ya shule ya msingi ni kawaida tu huwa naota tupo darasani n.k
Ila Kuhusu ndoto ya kuota kijijini kwetu nakumbuka ndoto mbili,
-kuota nimekamatwa na polisi huku nimevaa mavazi ya wafungwa
-Kuota nipo na mama,baba tunatoka kulima kwenye mashamba ya watu.
Binafsi nadoubt kwa sababu mambo yangu yakiwa yanaenda vizuri huwa sioti hivo,huwa naota hivo pale tu mambo yangu yakiwa yanaenda vibaya kama kipindi hiki.
Hizo ni imani tu ,sina imani yoyote ya Mungu wala shetani , hayo ni mambo ya imani wala hayana uthibitisho wowote , naota hizo ndoto za shule kila siku na mipango yangu inaenda kama ninavyotaka.Ndoto ni spiritual thing
Ni hali halisi ya kinachoendelea, kilichotokea na kitakachotokea
Soma biblia utaelewa
Mungu hutumia sn ndoto kusema na watu
Km.sio wa imani ya kikristo sorry
Kila mtu ana ndoto zake kutokana na background...Hua nashangaa nashangazwa na watu wakisema wameota hizo ndoto mimi binafsi sijawahi kabisa kuziota