Kuota unapaa!!

Kuota unapaa!!

Hizi ni dalili w
Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Za wewe kwenda Peponi moja kwa moja, endelea kumuamini Mungu tu! Siku ukifa we ni peponi tu
 
Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Astral projection, is a term used in esotericism to describe an intentional out-of-body experience that assumes the existence of a soul called an "astral body" that is separate from the physical body and capable of travelling outside it throughout the universe.

images (1).jpeg


Kinachotokea ni kuwa wewe una practise hii hali bila kujua.
 
USILAZIMISHE KUNYWA VALUE. Endelea na konyagi au k-vant. VALUE NA CHANG'AA SIYO KWA UMRI HUO.
 
Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Ni dalili za kua rubani ongeza bidii kwenye masomo utimize ndoto yako achana na hao wengine wanaota wanakimbizwa na mashetani kila siku mpaka mengine yanawabaka
 
Ndio umeshachukuliwa na wachawi, upo kwenye ungo. Ila walivyo waungwana wanakurudisha.
 
Leo tena nimeota napaa!
Pita hapa unaweza kuokota kakitu

 
Pita hapa unaweza kuokota kakitu

Dah! asante ndugu! nmeisoma yote! ila mimi sijawahi kuhisi maluweluwe mwilini mwangu! na ndoto hii hunitokea wakati ambao kimatendo nipo vizuri kabisa! mwanzo wakati sijawajua wanawake ilikua inanijia kila mara! ila nilipoanza kufanya mapenzi na wanawake ile ndoto ikawa sioti tena! ila baada ya kuoa na kutulia kwa miaka 3 bila kutoka nje ya ndoa ndoto ikarud kwa kasi ya ajabu! haipiti wiki moja bila kuota napaa! tena watu hunionea wivu na kukusanyka kushangaa! ila mwaka jana baada ya kupata mchepuko kutokana na kufanya kaz mbali na mke wangu, ile ndoto sikuota tena, ila tangu nmeachana na mchepuko nakujiapiza kwamba sitatoka nje ya ndoa yangu tena, sasa mizi mitatu imepita bila kuchepuka, ndoto imerudi! Naota kila mara!
 
Kiukweli ndoto hii imekua ikinitokea kilamara, tena unapaa huku watu wengine wanakutamani unavyoelea angani bila mabawa! Yaani nikitendo chakujikaza tu mwili (kukakamaa) tiyari unajiona kuanza kuiacha ardhi
Ndiyo, kujikaza--hisia ya hasa mgongoni...

Wanaoweza 'kupaa', hata kwa namna ya kawaida, hufanya kitendo kinachohusiana hili na basi kuitengeza hali hiyo...

Kwenye ndoto, kwa kuwa mwili wako ni wa madhanifu instikti ya hili uko nayo karibu--unaifahamu.

Wote ambao hupaa kwenye ndoto hili ndilo ufunguo...

Ili uweze katika mwili wa kawaida inakupasa 'umeme wa mifumo yako ya fahamu' uongezeke na basi hili kufanyika ukiweza kudhibiti 'ongezeko' hilo...

Kwa asili, miili yetu haijaumbika kumudu namna hii ya ongezeko la 'umeme fahamu' ila kwa kipindi kifupi na labda hali ya dharula... Ukiwa furaha sana, labda wakati wa kudansi unaweza 'kupaa'... Ukiwa na dharula ya hatari na mshituko wako wa kujihami ukajenga dhamira 'ya kuwa mwepesi sana' ili ukimbie hatari ya mahala, ulipe hili nafasi la kuwa mwepesi kama ubua, hili la 'kupaa' linawezekana... Unaweza 'kupaa' pia ukiwa kwenye 'epifania sala'...

Unaweza kuamsha hisia za mwili na fahamu kwa (1) mazoezi, (2) pumzi na (3) maarifa ya alama za hisia zijazo na uzoefu wa 'qi gong'...
 
Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Watakuambia yafuatayo
  • Karibuni utakwenda Ulaya
  • Utakuwa Nabii kama Eliya
  • Utakuwa nabii kama Issa
 
Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Si tafsiri ndoto yako ila through mimi mwenyewe sana sana nikiwa mdogo pia 14 to
Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Utaishi nnje ya Bongo na utapanda ndege sana kias itakuwa jambo la kawaida kwako...Si tafsiri hii ila nachukulia mimi nikiwa na 14,to 15 hii ilikuwa ndio ndoto yangu kiasi ilifika wakati nilikuwa naamini naruka sio kuota. Tafuta namna uweze kusafiri na uachane na nchi unayoipenda,yenye makelele kila kona Madereva husalimiana kwa kupiga Honi, kila mtu mfanya biashara...matusi ndio usiseme huwezi toka ukarudi nyumbani bila kutukanwa dukani kuhudumiwa ushababe wako sio kwavile wewe umetangulia upate huduma kwanza,oh raha za Bongo ni nyingi.
 
Watakuambia yafuatayo
  • Karibuni utakwenda Ulaya
  • Utakuwa Nabii kama Eliya
  • Utakuwa nabii kama Issa
Wewe unamwambiaje kwani??? Kwenda ulaya ni ngumu sana na haiwezekani au????
 
Kiukweli ndoto hii imekua ikinitokea kilamara, tena unapaa huku watu wengine wanakutamani unavyoelea angani bila mabawa! Yaani nikitendo chakujikaza tu mwili (kukakamaa) tiyari unajiona kuanza kuiacha ardhi
Me hii ndoto kill siku yaan mpk najuag uwezo nilionao kweny ndoto ni kupaa kama nikiona hatar nappa niķitaka kuwah seem nappa kweny ndoto lakin
 
Back
Top Bottom