Hiyo yakuota nipo shuleni aaf nmefikia kwenye mtihani na sijui chochote huwa inanitokea pia! kinachafata hapa hua nawaza kutimua mbio! then walimu huwaambia mkimbizeni huyo mumlete hapa! hapo kasheshe huanzaMm huwa naota niko shule advance mtihan una karibia alaf sijajiandaaa vzr, ndoto inaisha napanga au na jisemea ngoja nianzee kusoma kwa bidii
Ni mapambano tu ya kiroho ambapo always unakuwa mshindiSalaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Mmh..Maana ya ndoto yako ni kwamba siku siyo nyingi utakuwa mchawi na utakuwa unapaa.



Point kabisa.Moja kat ya ndoto mbaya n ndoto ya kupaa hiyo siyo zile ndoto za fix hiyo ndoto ni ishara ya kwel kabisa kuwa una majini tafuta tba mapema na uwe unaomba kabla ya kulala
Tafsiri ya ndoto yako ni kwamba unakaribia kurithishwa uchawi na Bibi yako
Uchawi ndo nautaka ili niwakate kilimilimi walopokaji kama wewe! Hahaa! It's joke my frndTafsiri ya ndoto yako ni kwamba unakaribia kurithishwa uchawi na Bibi yako
Acha kudanganya watu wewe jamaa.
Kuota unapaa ni ishara ya mambo yako yajayo kuwa ya juu,
kwa ufupi soon utafanikiwa maisha yako yatakuwa na hali nzuri usivyotarajia.

Umechaguliwa kiongozi wa malaikaSalaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Hiyo yakuota nipo shuleni aaf nmefikia kwenye mtihani na sijui chochote huwa inanitokea pia! kinachafata hapa hua nawaza kutimua mbio! then walimu huwaambia mkimbizeni huyo mumlete hapa! hapo kasheshe huanza





Kama ameota kwa miaka mingi kama alivyosema, hayo mafanikio ya soon ni lini? Maana miaka imeenda na inaenda haoni athari wala mafanikio.Acha kudanganya watu wewe jamaa.
Kuota unapaa ni ishara ya mambo yako yajayo kuwa ya juu,
kwa ufupi soon utafanikiwa maisha yako yatakuwa na hali nzuri usivyotarajia.
Inaowezekana Uchumi wako umeshikiriwa na watu (mataifa) ,ingia kwenye na maombi MUNGU akutoe kwenye Mikono ya walaji wa ridhik zkoMimi nimekuwa nikiota naokota au nimeshikilia pesa nyingi sana (aina ya noti) ila zikiwa zimeloa maji.
Kila ninapoota nikiwa na fedha,always zinakuwa zimeloa maji maji. Nimekuwa nikiota ndoto hii hii kwa miaka zaidi ya 10. Hii ina maana gani?
Upo katika age gani Mkuu na mm imenitokea sana lkn baada ya umri flan 40+ imekataNgoja nami niibie jibu lako, japo huwa sifatilii saana haya mambo, ila nimeota nina uwezo wa kupaa kwamiaka na miaka.
Isijekuwa tushakuwa vigagula bila kujua, Mshana Jr katurithisha bila kujua.
Moja kat ya ndoto mbaya n ndoto ya kupaa hiyo siyo zile ndoto za fix hiyo ndoto ni ishara ya kwel kabisa kuwa una majini tafuta tba mapema na uwe unaomba kabla ya kulala
30+Upo katika age gani Mkuu na mm imenitokea sana lkn baada ya umri flan 40+ imekata