wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Unafunga mkanda au unapaa hivyo hivyo.Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
Pole sana...
Huwa wataalam wanadai kuna mchawi anakufuatilia sasa hakuwezi

