Kuota unapaa!!

Kuota unapaa!!

Pettymagambo

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2017
Posts
1,520
Reaction score
8,270
Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.
 
Ngoja nami niibie jibu lako, japo huwa sifatilii saana haya mambo, ila nimeota nina uwezo wa kupaa kwamiaka na miaka.

Isijekuwa tushakuwa vigagula bila kujua, Mshana Jr katurithisha bila kujua.
Kiukweli ndoto hii imekua ikinitokea kilamara, tena unapaa huku watu wengine wanakutamani unavyoelea angani bila mabawa! Yaani nikitendo chakujikaza tu mwili (kukakamaa) tiyari unajiona kuanza kuiacha ardhi
 
Ni ishara ya mafanikio yaani upo juu kwenye mawingu, konki fire🔥
images (63).jpeg
 
Salaam wana jamvi!
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosomeka! Nmekua mwingi wa ndoto za kuelea angani kila mara! Haiwezi pita miezi 3 bila kuota napaa! Tena kwamikogo kabisa! Ndoto hii ilianza tangu nikiwa namiaka 11 mpaka leo 28 haijawahi kunisaliti! Sasa wajuz wamambo ya ndoto ebu mnisaidie tafsiri ya ndoto hii.

Ni moja kati ya dalili ya kupatwa au kutembelewa na mashetani.
kitakacho fuata Baada ya ndoto ya kupaa ni kuota upokatika matembezi na kupotea njia hujui uendako au unapajua ila mepotea njia na kuhangaika sana.
ikisha hiyo utaota unafukuzwa na wanyama wakali kama mbwa n.k au wanakuzuia kupita njia.
Sasa utakapo ota hizo ndoto nilizo kueleza nifahamishe.
 
Ni moja kati ya dalili ya kupatwa au kutembelewa na mashetani.
kitakacho fuata Baada ya ndoto ya kupaa ni kuota upokatika matembezi na kupotea njia hujui uendako au unapajua ila mepotea njia na kuhangaika sana.
ikisha hiyo utaota unafukuzwa na wanyama wakali kama mbwa n.k au wanakuzuia kupita njia.
Sasa utakapo ota hizo ndoto nilizo kueleza nifahamishe.
Acha kudanganya watu wewe jamaa.
Kuota unapaa ni ishara ya mambo yako yajayo kuwa ya juu,
kwa ufupi soon utafanikiwa maisha yako yatakuwa na hali nzuri usivyotarajia.
 
Acha kudanganya watu wewe jamaa.
Kuota unapaa ni ishara ya mambo yako yajayo kuwa ya juu,
kwa ufupi soon utafanikiwa maisha yako yatakuwa na hali nzuri usivyotarajia.
Nimeota hiyo ndoto mwezi uliopita tena nikiwa na wife wangu tunapaa juu Ila Sisi tulikuwa Kwenye kama gari huku Mimi mwenyewe nikiendesha.....
Kwa mfano nakumbuka miaka 7 imepita nilikuwa naota naendesha gari ilikuwa haipiti wiki au mwezi kabla ya Kuota hiyo ndoto na kweli baadae nilinunua gari ya kwanza
 
Pia inategemea kupaa kwake kunakuwa vipi...

Sio kila kupaa ni mafanikio..

Kama anapaa kwa usawa wa wastani ambao sio mawinguni kabisa + kutua chini kwa usalama basi ni kweli mafanikio yapo njiani...haswa kwa jambo lilokuwa likimtatiza.hapo tunasema Psychie power yake ipo active.

Ila kama ni tofauti...kuna shida mahala
Mkuu kwamara yakwanza naanza kuota ndoto hii nilikua kama nnamiaka 11! Niliota kunavita imetokea na magaidi wameua watu wote! Nikabaki mie tu! Ndowakaanza kunikimbiza, kila nikipiga hatua nashindwa, mpaka magaidi wakanikaribia kwatofaut kama hatua 5 hivi! Mara nguv zaajab zikanijia! Nikajikaza nakuanza kupaa juu wale wa2 wasinipate! Kadri nilvyojikaza kwanguv ndokasi yakuelekea juu iliongezeka! Tangu hapo mpaka leo nmekua naota yaani napaa kwakupenda mwenyewe na nikitakakushuka nashuka bila wasiwasi! Wakat mwengine napaa mpaka watu wanaanza kunionea wivu! Huwa nawaza sana cjui maanayake nini.
 
Back
Top Bottom