Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,466
- 19,495
Kutumia nguvu kazi ya Magereza zote nchini kuwapa kazi ya kukusanya taka na kutumia taka hizo kwa uzalishaji wa Biogas kwa ajili ya kupikia.
Kusambaza Magereza zilizopo katika Sehemu Tofauti ili kupata nguvu kazi hio (wafungwa wengi wafanye community service ya kusafisha mazingira / kukusanya taka)
Kuwapa Tenda Magereza ya Kutengeneza na kusimamia Biogas Plants kwenye kila Shule kubwa hivyo kuondoa matumizi ya kuni na gharama za kupikia.
Kwa Kufanya hivyo tutatumia nguvu kazi hii kwa Magereza kujiendesha na kusaidia Jamii na Mazingira.
Kusambaza Magereza zilizopo katika Sehemu Tofauti ili kupata nguvu kazi hio (wafungwa wengi wafanye community service ya kusafisha mazingira / kukusanya taka)
Kuwapa Tenda Magereza ya Kutengeneza na kusimamia Biogas Plants kwenye kila Shule kubwa hivyo kuondoa matumizi ya kuni na gharama za kupikia.
Kwa Kufanya hivyo tutatumia nguvu kazi hii kwa Magereza kujiendesha na kusaidia Jamii na Mazingira.
WASTE – BIOGAS – FERTILIZER
PUNGUZA TAKA NA KUOKOA MITI
KWA KUTOTUMIA KUNI
Magereza - Nguzo ya Jamii
PUNGUZA TAKA NA KUOKOA MITI
KWA KUTOTUMIA KUNI
Magereza - Nguzo ya Jamii
SoC01 - Okoa Mazingira, Safisha Miji na Kujipatia Kipato
Tatizo (Problem worth Solving) Nishati ni muhimu sana kwa jamii ya sasa, kwa bahati mbaya sana tunatupa nishati hiyo kwa kuharibu mazingira badala ya kuitumia na kuendelea mzunguko (Life Cycle)…, YAANI... (Tunachafua Huku)..... Na Kuharibu Hapa..... Ili Tupate Hiki.... Wakati tungeweza...
www.jamiiforums.com