miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Pole sana usiumie bana nitaitoa
aya mkuu!!!!
Pole sana usiumie bana nitaitoa
na hiyo gust sijui itakuwa ni ya yule mzee anaishi njombe hapo mtaa wa dhambi kuna guest yake inajina kama hilo songea nako ana gust inajina kama hilo sasa sijui na huko tanga ni ya kwake sio gust tu ana magari ya mizigo na abilia yameandikwa jina hilo kwa wale wa njombe na songea nazani wanamfaham huyu mzee pia anamaduka nayo kayaandika jina hilo hilo
Wafanyakazi wamefundishwa ku-reki mid night. unajua nini? wanafunguo ukihama room wanaingia wanabeba kila kitu, asubuhi hakuna malalamiko!!!
SP
Wokovu haupatikani guest
i like it...big up mwallu.safiiiii
View attachment 123601View attachment 123601
Hebu sema kitu juu ya hili jina la hii guest kwa sababu binafsi maneno yameniishia
Naona saizi wamekupata toa single nyingine maana hiyo ya weka picha imechuja!Dah! Kumbe kuna picha!
Mimi sioni shida kwakweli maana jina tu linawahamasisha wateja wake kuwa kuokoka ni lazima kwani gest si ni nyumba ya kulala wageni jamani!View attachment 123601View attachment 123601
Hebu sema kitu juu ya hili jina la hii guest kwa sababu binafsi maneno yameniishia
leo kuna mtu kafia humu kwenye hii guest...
kalala usiku wa valentine...
View attachment 123601View attachment 123601
Hebu sema kitu juu ya hili jina la hii guest kwa sababu binafsi maneno yameniishia