Kuokoka ni lazima guest house

Kuokoka ni lazima guest house

habari ya hapa

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
12,789
Reaction score
8,753
kuokoka.jpg

Hebu sema kitu juu ya hili jina la hii guest kwa sababu binafsi maneno yameniishia
 
hahahaa......haya majina mengine ya gesti....
 
Khaa!
Usingeingia na bwana wako humo (gest) afu uhakikishe watu wanaokokaje humo!!
Pia ungejua kwanini ni lazima kuokoka!
Hihihihiii!
 
hamna chumba kama huna cheti cha ndoa, la sivyo kila mmoja chumba chake!!
SP
 
Sipati picha ka bucha ndo ingeandikwa ivo, je wenzetu wangenunua nyama?
 
Khaa!
Usingeingia na bwana wako humo (gest) afu uhakikishe watu wanaokokaje humo!!
Pia ungejua kwanini ni lazima kuokoka!
Hihihihiii!


Nilikuwa na pita mkuu nikaiona lkn next time nikirudi nitapita nipate maelezo ya kutosha
 
habari ya hapa nina ombi moja kwako
Hebu badili hiyo avatar ya kulia halafu nitakuambia kitu!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom