Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,139
Kwani guest house maana yake ni nini?
Nyumba ya "wenyeji"
Kwani guest house maana yake ni nini?
habari ya hapa nina ombi moja kwako
Hebu badili hiyo avatar ya kulia halafu nitakuambia kitu!!
Kila mmoja chumba chake, halafu baadae mmoja anahamia kwa mwenzake kinyemela!hamna chumba kama huna cheti cha ndoa, la sivyo kila mmoja chumba chake!!
SP
habari ya hapa nina ombi moja kwako
Hebu badili hiyo avatar ya kulia halafu nitakuambia kitu!!
kaka Eiyer umenena hata mimi nitamwambia kitu akibadili avatar hii ya kulia habari ya hapa pliz!
Nilikuwa na pita mkuu nikaiona lkn next time nikirudi nitapita nipate maelezo ya kutosha
Aaka! Mwenyewe napenda kuokoka!
Kama vipi ukitaka kwenda hapo guest, nibip tukaokoke wote!
hamna chumba kama huna cheti cha ndoa, la sivyo kila mmoja chumba chake!!
SP
Safi jina au nini
kuingia wawili muhimu uwe na cheti cha ndoa
habari ya hapa its personal ila me avatar yako duh huwa inaniumiza sijui kwa nini? back to topic itakuwa hawaruhusu watu kulala chumba kimoja kama siyo mke na mume...........
Muheza Kijiji cha Kwamatindi karibu sana
wakiingia kila mtu na chumba chake afu usiku mmoja akahamia kwa mwenzie mtajuaje
hehhe he he haya mambo bana mungu ndo anajua