kuoga??

kuoga??

Jestina

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
4,828
Reaction score
1,716
nini madhara ya kutokuoga??
huku nilipo baridi inaanza na nahisi ratiba yangu ya kuoga itabadilika lol
what is the worst that can happen to me???? nipeni darasa....lol
 
Huko uliko hakuna gayser/kuni/gas/mkaa/umeme? Unaishi Dunia ipi? Nalog off
 
mazee, kaa bila kuoga kwa siku kadhaa ili utyufahamishe madhara utakayopata
 
We Getruda mwanamke mazingira bana acha hizo halafu utadai siku hizi hutongozwi kumbe harufu inakimbiza wachumba lol!
 
Trust me,personal hygiene ni mojawapo ya topics kuhusu afya na usalama. Unaweza kupata psychosocial problems kwa kudhani watu hawakupendi ama wanakutenga kwa sababu unanuka na hujijui! At a minimal,oga twice daily. Hongera kwa kuwa abroad,hehehe
 
Kula lazima, kuoga hiyari....kaa na ukurutu wako mdogo wangu.
 
Back
Top Bottom