nini madhara ya kutokuoga??
huku nilipo baridi inaanza na nahisi ratiba yangu ya kuoga itabadilika lol
what is the worst that can happen to me???? nipeni darasa....lol
Trust me,personal hygiene ni mojawapo ya topics kuhusu afya na usalama. Unaweza kupata psychosocial problems kwa kudhani watu hawakupendi ama wanakutenga kwa sababu unanuka na hujijui! At a minimal,oga twice daily. Hongera kwa kuwa abroad,hehehe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.