fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,627
- 7,198
- Thread starter
- #81
moja ya sifa kubwa sana ya mjinga,ni kujiona yeye ni mwerevu na kila mtu ndio mjingaUkishaota mavuzi hutokaa u post tena huu ujinga
moja ya sifa kubwa sana ya mjinga,ni kujiona yeye ni mwerevu na kila mtu ndio mjingaUkishaota mavuzi hutokaa u post tena huu ujinga
sina cha kukujibu mtu zuzu kama weweUlishaleft group,,, hii ni laana kwa wazazi wako na ukoo wako wote
Unajuaje ni nzuri au siyo nzuri wakati we siyo mtumiaji au unazungumzia uzuri wa muonekano?Hiyo mnamjibu ni Mzee wa makamo.zamani wanaume wallikua wanavaa chupi,na Kuna chupi za kike pia.hata Sasa ujio wa boksa zile za kubana,wengi hawazielewi bado wanavaa chupi na zipo madukani zinauzwa.na ni nzuri kuliko haya maboksa yenu yanayolegea.
Sio kosa lako,toka unezaliwa hapo mpitimbi hujatembea popote,utajua ninishati halichomekewi ndani ya chupi mshamba wewe kuna siku deki itakula kanda litabaki na mavi
Tena anachomekea ,zee shamba sana hili sijui lina muda gani mjiniChupi unavaa mtoto wa kiume!? hii imekaaje wakuu
inawezekana sijatembea popote kweli ila kuvaa chupi tena ukiwa umechomekea shati ndani yake ni ushambaSio kosa lako,toka unezaliwa hapo mpitimbi hujatembea popote,utajua nini
Sio kosa lako ni ushamba unakusumbua,na hata kujifunza hutaki,utakuwa mtu wa maana sana duniani kama utajenga tabia ya kujifunza,unapoona kitu kipya na wewe hukijui,jifunze sio kuja hapa na kujamba kwa kuwa ulikula ugali wa juzi na maharage ya kuokoteza kwa mama ntilie.Jifunzeni.Tena anachomekea ,zee shamba sana hili sijui lina muda gani mjini
Niko tayar kujifunza ila sio kuvaa chupi tena nikiwa nimechomekea shati ndani yake.Sio kosa lako ni ushamba unakusumbua,na hata kujifunza hutaki,utakuwa mtu wa maana sana duniani kama utajenga tabia ya kujifunza,unapoona kitu kipya na wewe hukijui,jifunze sio kuja hapa na kujamba kwa kuwa ulikula ugali wa juzi na maharage ya kuokoteza kwa mama ntilie.Jifunzeni.
Sema mwanaume aliyepindwa we bogaMwanaume si unaona aftershave nayotumia ni old spice naitumia kwa zaidi ya miaka 30 sasa
Wewe unaona ushamba,unajua kuwa waziri mkuu wa uingereza john major alikuwa anachomekea shati kwenye chupi? unajua ni kwanini tunachomekea shati kwenye chupi?Ungekuwa ni mtu wa maana ungeniuliza baba hebu nielimishe kwanini unavaa hivyo ningekueleza,sasa wewe unaniita mie mshamba,sikia elimu niliyonayo wewe hutaweza kuipata asilan,fursa aliyonipa Mola ya kuitembelea hii dunia,wewe hutoipata.Jufunze,uliza utajua mengiinawezekana sijatembea popote kweli ila kuvaa chupi tena ukiwa umechomekea shati ndani yake ni ushamba
😂😂😂 jamaa la hovyo sana sana hiliNa unapaka mafuta hadi kwenye matako yako?
Sifa ya zuzu ni ujinga,na ukibishana na zuzu ni hasaraSema mwanaume aliyepindwa we boga
kwhy kuzunguka kwako duniani elimu ulioipata ni kuvaa chupi ikiwa imechomekewa shati ndani yake, mzee wa hovyo sana weweWewe unaona ushamba,unajua kuwa waziri mkuu wa uingereza john major alikuwa anachomekea shati kwenye chupi? unajua ni kwanini tunachomekea shati kwenye chupi?Ungekuwa ni mtu wa maana ungeniuliza baba hebu nielimishe kwanini unavaa hivyo ningekueleza,sasa wewe unaniita mie mshamba,sikia elimu niliyonayo wewe hutaweza kuipata asilan,fursa aliyonipa Mola ya kuitembelea hii dunia,wewe hutoipata.Jufunze,uliza utajua mengi
Kosa kubwa wewe bado mchafupili,lile la bafuni hubaki huko na chumbani lipo taulo jingine.
Haya nenda kaoge tena, hujatakaka huko nyuma pumbavuSifa ya zuzu ni ujinga,na ukibishana na zuzu ni hasara