bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Siku hizi mtu akitaka kuoa kuna kuwa na event nyingi mara utasikia kutangaza uchumba, pete ya uchumba, kitchen part [wakati muolewaji ameishawah ishi na mwanaume mwingine kwenye sogea tuish miaka saba] mara ndo send off then harusi!!!! baada ya harusi jamaa anabaki hana kitu hadi vyombo vya ndani vya kuunga unga! mi naona Bora kuoana bila harusi ili fedha ya sherehe nifanyie mambo mengine!!!