Kuoa binti mwenye mtoto

Kuoa binti mwenye mtoto

Na hao walioa wanawake wenye watoto unadhani huwa hawahusishi jamii iliyowazunguka ili kupata ushauri wao kabla ya kufunga ndoa zao? Wanaamua kuwabeba mzobemzobe tu?

mkuu umeoa mwanamke aliyezalishwa watoto wangapi?
 
acha kupotosha umma. experience ya wazi ndo ipi? Kwani wapenzi walioachana bila kuzaa hawawezi kukumbushana na kufarijiana? Hata bikra akioa au kuolewa na asiyempenda anaweza kufarijiana na yule aliyempenda akitaka.

huu ni ushetani
 
kwanza kabla hujaanza kujaa mate nikuulize tu unajuwa angalau hata maana ya mtoto wa kwanza?.

siku zote nitaendelea kushauri ni vizuri mwanamke aliyezaa akibahatika aolewe na mwanaume aliyezaa pia.

ukitumia kichwa cha chini kufikiri kamwe huwezi kulielewa hili.

Matola hii thread si yangu ila si vibaya nikaelimika kupitia humu. Hii "mtoto wa kwanza" ni nini maana yake na significance yake kwenye ndoa ya mzazi wake na baba tofauti au mama tofauti? Namna mnavyotuchukulia tuliozaa kabla ya ndoa kama mizigo na wasio au walioshuka thamani sina kipingamizi. Ni sawa kwani reality ni namna mtu anavyo-perceive. Nielimishe hili "mtoto wa kwanza" kama mama.
 
Matola hii thread si yangu ila si vibaya nikaelimika kupitia humu. Hii "mtoto wa kwanza" ni nini maana yake na significance yake kwenye ndoa ya mzazi wake na baba tofauti au mama tofauti? Namna mnavyotuchukulia tuliozaa kabla ya ndoa kama mizigo na wasio au walioshuka thamani sina kipingamizi. Ni sawa kwani reality ni namna mtu anavyo-perceive. Nielimishe hili "mtoto wa kwanza" kama mama.

urithi,mali,kaka au dada blah blah
 
acha kupotosha umma. experience ya wazi ndo ipi? Kwani wapenzi walioachana bila kuzaa hawawezi kukumbushana na kufarijiana? Hata bikra akioa au kuolewa na asiyempenda anaweza kufarijiana na yule aliyempenda akitaka.

na kwa nini uoe/uolewe na usiyempenda?
 
na kwa nini uoe/uolewe na usiyempenda?

pesa,mila,urithi,shida,huna jinsi,ushawishi

ila mi nimejibu ni ushetani tu eti bikra akitaka analiwa nje kwa anayempenda MMU MAKAZI YA PEPO KWA ASILIMIA KUBWA
 
Kutunza bao la mtu mwingine inahitaji moyo
 
acha kupotosha umma. experience ya wazi ndo ipi? Kwani wapenzi walioachana bila kuzaa hawawezi kukumbushana na kufarijiana? Hata bikra akioa au kuolewa na asiyempenda anaweza kufarijiana na yule aliyempenda akitaka.

Dada kulea bao la mtu mwingine inahitaji ujasiri sana haswa unakuta mtt kishamjua baba yake
 
acha kupotosha umma. experience ya wazi ndo ipi? Kwani wapenzi walioachana bila kuzaa hawawezi kukumbushana na kufarijiana? Hata bikra akioa au kuolewa na asiyempenda anaweza kufarijiana na yule aliyempenda akitaka.

Single mom mnapata challenge hapo...kupata mwanaume ambae atakubali kuwa baba kwa mtt ambae sio wake inakuwa ngumu especially kama baba halisi yupo na kuna mawasiliano na mtt au mama.
 
Matola hii thread si yangu ila si vibaya nikaelimika kupitia humu. Hii "mtoto wa kwanza" ni nini maana yake na significance yake kwenye ndoa ya mzazi wake na baba tofauti au mama tofauti? Namna mnavyotuchukulia tuliozaa kabla ya ndoa kama mizigo na wasio au walioshuka thamani sina kipingamizi. Ni sawa kwani reality ni namna mtu anavyo-perceive. Nielimishe hili "mtoto wa kwanza" kama mama.

naangalia kwanza game ya orange na Argentina, mechi ikiisha nalala, kesho nitapitia na reference kwenye bible ili unielewe vyema.

sina nia kumoffend yeyote kwa yaliyotokea we can't change the past, but/lakini tunalo jukumu la kuhakikisha tunapeana elimu stahiki ya kuzaa kabla ya ndoa ni ukatili mkubwa tunawafanyia watoto hasa kama wewe umezaliwa na ukalelewa na kupata mapenzi ya baba na mama.

tuombe Mungu kesho nitashusha nondo hapa na niatakueleza kwa nini kwenye hesabu ya wayahudi mwanamke hawamuhesabu kamwe.
 
Na hao walioa wanawake wenye watoto unadhani huwa hawahusishi jamii iliyowazunguka ili kupata ushauri wao kabla ya kufunga ndoa zao? Wanaamua kuwabeba mzobemzobe tu?
of coz wapo wanaobeba we unadhani kila mtu anauliza? Na wengine huwa hawajui. Pia kumbuka sipingani na wewe ninachojaribu kukwambia ni kwamba epuka kufanya msimamo wako ndio msimamo wa jamii. We sema unachoona sio uongee kwa niaba ya jamii.
 
Usiniwekee maneno ambayo sikuyaandika. Hakuna popote niliposema kwamba msimamo wangu ndio msimamo wa jamii. Hao wanaofikia maamuzi ya kuoa wanawake wenye watoto hukaa na wazazi wao, ndugu zao na jamaa na marafiki na kuangalia uwezekano wa kufunga pingu za maisha. Na wao wakiafiki kwamba mtoto wao, ndugu yao, jamaa na rafiki yao aendelee na maandalizi ya harusi basi hutoa baraka zao. Acha mawazo finyu kwamba mwanamke akiwa na mtoto basi huyo hastahili tena kuwa mke. Muhusika kaja hapa kuomba ushauri badala ya wewe kutoa ushauri wako na kumuachia mwenyewe afanye maamuzi yake, unaanza kuhoji ushauri wangu. Acha hizooo.

of coz wapo wanaobeba we unadhani kila mtu anauliza? Na wengine huwa hawajui. Pia kumbuka sipingani na wewe ninachojaribu kukwambia ni kwamba epuka kufanya msimamo wako ndio msimamo wa jamii. We sema unachoona sio uongee kwa niaba ya jamii.
 
Acha umbulula ww.....!!!??????? Kwan mtoto ana shida gan...... au unataka wale wenye watoto 10 lakn wakazalia chooni.????? Acha bange....

Kosa ni la anayetaka kuoa ama aliyempa mtoto halafu akamuacha?

nadhani wewe ndiye uache kauli za Kijinga.

Hizo bange mkuu wazijua lakini ? isije kuwa waandika by imagination.!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom