Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
nikiona changamoto kama hizi naogopa kumtundika binti kibendi nisawa na kuaribu future yake...wacha nisubili mpaka ndoa!
ni vizuri uowe watoto wapatikane ndani ya ndoa, ili swala watu wanalichukulia juu tu.
changamoto si kuolewa tu hata akiolewa kuna changamoto nyingi wewe umeoa mwanamke watoto wako uwezo wako ni kuwapeleka shule za kata, linatokea njemba lililomzalisha mkeo linampeleka mtoto wake ist masaki hivi hao watoto uliozaa wataona wana baba kweli?