BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Una akili sana wewe nimekupendaje? Wanaume kama mumeo wako wengi sana. Pale ambapo wanakutana na penzi la kweli hata kama kuna mtoto watauliza maswali ya kina na wakishapata majibu ya kuwaridhisha basi mtoto anakuwa si kipingamizi katika maamuzi yao ya kufunga pingu za maisha na asilimia kubwa humlea mtoto kwa mapenzi tele kama ni mtoto wao wa kuzaa. Ahsante sana kwa kuweka mfano wako.
thnx kwa kutetea sie tuliozaa na tukaolewa mi natoa mfano wangu mwenyewe firs born wangu na babake hatuko pamoja kila mtu kivyake na namheshimu sana mme wangu mana kwa ujasiri wake ameweza kunikubali na akanioa na tuna amani tu suala si kurudiana na mwenzi wako unaeza oa asiye na mtoto akakubambikia pia by the way mbona wanaume mnazaa na mnaoa wasio na watoto acheni ubinfsi au hapa jf hv hamna watu waliozaliwa half siblings humu?au ndo mbwembwe tu!