Kuoa binti mwenye mtoto

Kuoa binti mwenye mtoto

Kosa ni la anayetaka kuoa ama aliyempa mtoto halafu akamuacha?

nadhani wewe ndiye uache kauli za Kijinga.

Hizo bange mkuu wazijua lakini ? isije kuwa waandika by imagination.!

id yake inasadifu yaliyo ubongoni mwake huyo
 
Last edited by a moderator:
Ninaona kuna tatizo la kutunza hapo!
Kwangu kutunza sio issue ya kujadili. Issue hapa ni uhusiano kati ya hawa viumbe waliozaa pamoja. Uhusiano wao upo na utazidi kuwepo coz wanaunganishwa na mtoto. Tatizo linakuja wanapotumia fursa hiyo kuwa na uhusiano zaidi ya malezi ya mtoto. Hilo tu.
 
Hapana mkuu simtoi kasoro kama umenifuatilia nimemsifia pia kuwa haoneshi kama amezaa na lengo langu hasa ni kufaham perception ya jamii yetu katika mazingira kama haya
Basi njoo unioe mimi ambaye kama wewe niliogopa perception ya jamii nikatoa mimba 7 kiasi kwamba hadi kizazi kimeharibika hivyo uwezo wa kuzaa sina.

It is no joke, kuna ndugu yangu ana ndoa ya miaka 20 hana mtoto. Na mkewe inasemekana alitoa mimba sana kipindi cha usichana.
Nawakubali sana mabinti waliozaa mimba za usichana, maana madenti wengi wanaporomoa vitoto. Ndio maana mdau hapo juu, anakwambia unataka aliyezalia chooni?
 
Kwangu kutunza sio issue ya kujadili. Issue hapa ni uhusiano kati ya hawa viumbe waliozaa pamoja. Uhusiano wao upo na utazidi kuwepo coz wanaunganishwa na mtoto. Tatizo linakuja wanapotumia fursa hiyo kuwa na uhusiano zaidi ya malezi ya mtoto. Hilo tu.

Asprin atakuambia mahawala hawaachani, swala la kurudiana au kukumbushia mtoto sio sababu. Tena kama alimkataa akiwa mjamzito, inajenga chuki zaidi ya upendo. Hofu yako ndio hasara yako, toa mawazo negative na mtaishi happily after.

Halafu naona huyu hajampenda vya kutosha ndio maana anauliza mawazo ya watu. Live your life, ili usitafute wa kumlaumu pala yanapokushinda.
 
Last edited by a moderator:
Sioni tatizo kama mnapendana mtoto si ishu. Jamii imezoea mfumo dume ndio maana unapata taabu kuamua. kuna mama vichanga wengi tu sema viliishia kusikojulikana sasa usidanganywe na muonekano wa mtu kama watu wangechunguzwa kungepatikana na idadi kadhaa ya wakaka na wadada wasiokolifai kuitwa hawana watoto. Wengine hawana kwa sababu siku hiyo haikua siku ya hatari na wengine hawana kwasababu walicholopoa.
 
Sioni tatizo kama mnapendana mtoto si ishu. Jamii imezoea mfumo dume ndio maana unapata taabu kuamua. kuna mama vichanga wengi tu sema viliishia kusikojulikana sasa usidanganywe na muonekano wa mtu kama watu wangechunguzwa kungepatikana na idadi kadhaa ya wakaka na wadada wasiokolifai kuitwa hawana watoto. Wengine hawana kwa sababu siku hiyo haikua siku ya hatari na wengine hawana kwasababu walicholopoa.

Umetisha mama. Na huo ndo ukweli.
 
Sioni tatizo kama mnapendana mtoto si ishu. Jamii imezoea mfumo dume ndio maana unapata taabu kuamua. kuna mama vichanga wengi tu sema viliishia kusikojulikana sasa usidanganywe na muonekano wa mtu kama watu wangechunguzwa kungepatikana na idadi kadhaa ya wakaka na wadada wasiokolifai kuitwa hawana watoto. Wengine hawana kwa sababu siku hiyo haikua siku ya hatari na wengine hawana kwasababu walicholopoa.

waambie hao........ wanawake wenye watoto waheshimiwe na watu wote... wamesacrifse mengi sana.....
 
waambie hao........ wanawake wenye watoto waheshimiwe na watu wote... wamesacrifse mengi sana.....

kimsingi mimi nawaheshimu mama zetu wote ila kwakuwa maandishi ya hapa jf huwa hayaozi basi ni vizuri madhara ya kuzaa kabla ya ndoa yawekwe wazi.

na pia ieleweke wazi kuna wanawake wao wenyewe kwa mapenzi yao na si kwa bahati mbaya utaka kupata mtoto na swala la kuolewa kwao sio kipaumbele.

kwahiyo mpwa hapa kwa sababu siku hizi wale vijana wenye mihemko wanaingia kwa wingi ni vyema tuwawekee mwongozo na mwenye masikio na asikie.

mwisho wa siku Mungu ndio mpanga na mtoa riziki, ni vizuri pia tusimsahau Mungu yeye ndio alfa na omega.

baba yake le mutuz, kaoa ukubwani, dr slaa kapora kabisa mwanamke mwenye watoto wawili, phillip mangula kaoa juzi juzi na pius msekwa halikadharika. kwahiyo kwa kifupi kila bidhaa sokoni ina mteja wake kutokana na mahitaji ya mnunuzl.

nota bene: sina maana kwamba wanawake ni bidhaa ila nimeweka mfano ambao ni rahisi kueleweka.
 
Kwangu kutunza sio issue ya kujadili. Issue hapa ni uhusiano kati ya hawa viumbe waliozaa pamoja. Uhusiano wao upo na utazidi kuwepo coz wanaunganishwa na mtoto. Tatizo linakuja wanapotumia fursa hiyo kuwa na uhusiano zaidi ya malezi ya mtoto. Hilo tu.

Nafikiri kama issue siyo kutunza basi mtihani utakuwa umeushinda, It is a matter ya kuongea na huyo a wife to be kuwa uhusuiano wako na huyo baba mtoto una kikomo na kikomo hicho ni kama utakavyo kidefine! Na kama huyo mtegemewa ana maana ya kuwa na wewe atafanya hivyo. Sasa basi itabidi upunguze kale kawivu ka kufuatilia au kila wakati kuwa na mawazo kuwa labda jamaa bado anadu!
 
Mimi naona tatizo sio kuzaa (kuwa na mtoto), tatizo ni mtoto. Sio rahisi kumuoa mama na mwana.

Sasa basi muulize endapo baba wa mtoto anafahamika, anamtambua mtoto na kama anashiriki katika malezi ya mtoto.

Kama anazo sifa hizo hapo juu basi mtoto aende kwa Baba yake.

Kama hana hizo sifa hapo juu, basi mtoto abaki kwa bibi yake au kwa wajomba zake.

Mtanipinga sana ila huo ndio ukweli mtupu kiafrica africa. Mimi binafsi nimeshaletewa watoto wawili kutoka kwa wanawake tofauti ambao kwa sasa wameolewa na ndoa zao zina amani tele kwa muonekano wa nje, nami nalea watoto wangu kwa amani nikisaidiana na bibi yao, I love them, soon nitawaletea mama yao (step mother)
 
Mtanipinga sana ila huo ndio ukweli mtupu kiafrica africa. Mimi binafsi nimeshaletewa watoto wawili kutoka kwa wanawake tofauti ambao kwa sasa wameolewa na bfoa zao zina amani tele kwa muonekano wa nje, nami nalea watoto wangu kwa amani nikisaidiana na bibi yao, I love them, soon nitawaletea mama yao (step mother)

waletee huyo step mother, watamkomaje mpaka wataamua kuwa chokoraa if you will not be intelligent
 
waletee huyo step mother, watamkomaje mpaka wataamua kuwa chokoraa if you will not be intelligent

Nazitambua risk zote na changamoto zake, kifupi nimejiandaa kuzikabili na nimemwandaa pia mke wangu mtarajiwa kukabiliana nazo.

Come back to the topic, huyo mtoto aende kwa baba yake, otherwise abaki kwa bibi yake (mama mzaa chema).
 
Basi njoo unioe mimi ambaye kama wewe niliogopa perception ya jamii nikatoa mimba 7 kiasi kwamba hadi kizazi kimeharibika hivyo uwezo wa kuzaa sina.

It is no joke, kuna ndugu yangu ana ndoa ya miaka 20 hana mtoto. Na mkewe inasemekana alitoa mimba sana kipindi cha usichana.
Nawakubali sana mabinti waliozaa mimba za usichana, maana madenti wengi wanaporomoa vitoto. Ndio maana mdau hapo juu, anakwambia unataka aliyezalia chooni?

kuna watu mna akili hadi nahisi mmependelewa
 
Natumai kesho ya shemeji Matola imefika, pls dada Lara 1, MUWAHISHE SHEM AJE MALIZIA KIPORO CHAKE CHA MZALIWA WA KWANZA HUMU NDANI, TUNASUBIRI KWA HAMU,MAANA WENGINE HATA KUKOMENT TUMESHINDWA
 
na ukubali mzazi mwezake kukugusia siku moja mojaa...
 
Back
Top Bottom