Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Binafsi huwa naamini
1. mwanamke aliyepelekwa leba na mwanamme kamwe hamsahau huyo mwanaume no matter wat happens esp mimba ya kwanza
2. Mtoto ni kiunganishi baina ya wazazi. Always watakuwa na mawasiliano no matter wat happens.
3. Huwa naamini kujifungua its a live or die thing. its either mwanamke afe mtoto abaki au mtoto afe mwanamke abaki au wafe wote au wabaki wote. So mwanamke kuamua kumzalia mwanaume mtoto huwa ni upendo wa ajabu kiasi cha kuamua kurisk maisha yake kwa yule mwanaume.
Ni hayo tu. Akili za kuambiwa changanya na zako
labda wanawake walioolewa lakn kwa waliopata mimba wapo shule si ajabu hata hisia za mapenzi zikakata kabisa kwa jamaa. wengi uishia kulea mtoto tu.
nafkiria tu unawezaje kumpenda mwanaume ambae alichangia kwa namna moja au nyingne kuharibu future yako??!!!