Mie nilinyoa, nilipitisha siku mbili bila kupata shughuli!, kisa mama analalamika atachezea nini, hiyo ibaki maamuzi ya wapenzi kuamua kuacha au kuondoa. Wengine wanapenda na wengine hawapendi!
Mnh! angalia usilizidishe maana mwishowe anaweza kuwa taahira ikawa taabu, shaurilo!
Wanaopenda wanadai kama zinapunguzwa kila mara na kuachwa za wastani na soap soap kwa sana basi wanazifurahia sana. Binadamu wanatofautiana wengine husema "that is a grown p.....y/p....s!! I like it that way" na wengine wanadai ni uchafu tu.
Best unaongelea kupunguza, which could be fine. Huyu jamaa anataka kuacha amazon forest bila palizi. Sasa usafi utakuwaje. Na handling yake nayo!
Hasa kwetu wamama zile siku za mvua, usafi wa ngozi unahusika.
Swali la nyongeza: hivi kuna haja ya kutumia shampoo kuogesha sehemu za nywele?
Best mie si mtaalamu katika maswala haya labda Dr MziziMkavu aje kutusaidia kwenye hili kama kuna sabuni mbadala ya miti shamba 🙂🙂 ambayo inaweza kusaidia kwenye usafi wa maeneo hayo nyeti.
Pete sio muhimu cha msingi upendo wa dhatiNaogopa, nimeambiwa wewe ni mchumba tayari ila pete siioni.
Nilisafiri kwenda kunyoa Hong Kong
Ndo narudi
Weweeeeeeeeeh umeona! Wengi hawapendi kufuga sababu ETI ya usafi. Changamkia biashara hiyo mwanangu ila utaitangazaje? TRA nao.Hahahaha! Kwa kweli! Kuna haja ya kuchanganya unga wa mdalasini, asali na madhiwa!
Nna mpango wa kufungua saluni ya haya maeneo! Nitafanya promo humu humu, lol. Dreadz nazo zitakuwemo. Haya best, kuwa na wakati murua.
Unamaana unakutananao? Shauri yako labda nikuulize MKO WANGAPI?