mmmuhumba
JF-Expert Member
- Nov 8, 2017
- 491
- 476
Ni kawaida wapenzi wanapokuwa mbali, kuwa na hamu kubwa ya kuonana kutokana na umbali, majukumu na uchumi, huwa ni kwazo wao kuonana mara kwa mara.
Ila wapo wapenzi wanakutana na changamoto, kwamba mwanamke anaitwa na mwanaume wake na washagombana sana kwa mmoja, kuona mwenzie kama hana mapenzi naye ndio maana hataki kukubali kusafiri alipo.
Mbaya umesafiri kumfuata mpenzi wako toka mikoa na mikoa halafu unafika kwa mwanaume wako au mwanamke wako, unakaa naye siku moja au zaidi na hataki kukupa chochote na unapomgusa anadai anaumwa.
Nianze na wanaume, hivi unamsafirishaje mwanamke na akifika kwako anashindwa kumtimizia haja yake huku ukusingizia unaumwa, ikiwa umempa ahadi ya kumtenda atakacho kwa unono?
Na wanawake, unamtia mwenzio genye kibao, kudai umemmisi na anafunga safari alafu unamlaza wiki nzima mzungu wa nne mpaka anasepa?.
Hapa shida inakuwa ni nini?
Ila wapo wapenzi wanakutana na changamoto, kwamba mwanamke anaitwa na mwanaume wake na washagombana sana kwa mmoja, kuona mwenzie kama hana mapenzi naye ndio maana hataki kukubali kusafiri alipo.
Mbaya umesafiri kumfuata mpenzi wako toka mikoa na mikoa halafu unafika kwa mwanaume wako au mwanamke wako, unakaa naye siku moja au zaidi na hataki kukupa chochote na unapomgusa anadai anaumwa.
Nianze na wanaume, hivi unamsafirishaje mwanamke na akifika kwako anashindwa kumtimizia haja yake huku ukusingizia unaumwa, ikiwa umempa ahadi ya kumtenda atakacho kwa unono?
Na wanawake, unamtia mwenzio genye kibao, kudai umemmisi na anafunga safari alafu unamlaza wiki nzima mzungu wa nne mpaka anasepa?.
Hapa shida inakuwa ni nini?