DOKEZO Kunguni wanatutesa Wanafunzi tunaolala kwenye mabweni ya UDOM

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unaijua UDOM ilivyo? Hao kunguni jamaa kakuza tu tatizo, hawapo vyumba vyote + kunguni hawatoki chumba kimoja kwenda kingine, walikuwa room kwetu walitutesa ila hawakwenda room yeyote ya jirani,

Kijana aache uvivu, afanye usafi, hata kama wapo kwenye kuta, kuta za UDOM ni rahisi kisafishika,

Btw hata uongozi huwa hawapigi dawa jengo zima, wanapiga tu vyumba vyenye kunguni sugu ambavyo vinaweza kuwa viwili jengo nzima
Jamaa mzushi tu,! Uchafu wake anataka laumu chuo kizima!

Kwanza chuo kina utaratibu wa kufanya fumigation kwenye vyumba vyote hata mwaka huu wamefanya pia!

Tatizo lililopo UDOM kwa sasa ni wanahitimu kutolipwa overpayments zao tu. Management ijitafakari kwenye hili. Imelipa wanahitimu hawafiki hata 100 kwenye zaidi ya 10000+ halafu wamekaa kimya.

Wiki mbili sasa zimepita bila wanafunzi wengine kuingiziwa pesa zao, wamejikausha! Ukiuliza unaambiwa mbona wengine wamelipwa?
 
Mambo mengine ni kuchoshana tu. Hao kunguni mmewaleta wenyewe kutoka majumbani kwenu, halafu mnakuja kuusumbua uongozi wa chuo kuwatokomeza!!

Yaani watu wanapambania elimu yenu, wanapambania usalama wenu hapo chuo! Bado mbawabebesha tena mzigo wa kupambana dhidi ya kunguni, mliokuja nao kutoka majumbani kwenu!!

Kama vipi jichangisheni ili mpate dawa ya kuwaua. Inauzwa shilingi elfu 6 tu.
Jamaa mzushi tu,! Uchafu wake anataka laumu chuo kizima!

Kwanza chuo kina utaratibu wa kufanya fumigation kwenye vyumba vyote hata mwaka huu wamefanya pia!

Tatizo lililopo UDOM kwa sasa ni wanahitimu kutolipwa overpayments zao tu. Management ijitafakari kwenye hili. Imelipa wanahitimu hawafiki hata 100 kwenye zaidi ya 10000+ halafu wamekaa kimya.

Wiki mbili sasa zimepita bila wanafunzi wengine kuingiziwa pesa zao, wamejikausha! Ukiuliza unaambiwa mbona wengine wamelipwa?
 
Kipindi nasoma hapo hakukuwa na kunguni kbsa ...ila ulivyotaja college bof education sijashangaa manake wanajiwekaga sana rough
 
Yaani kunguni tu mnashindwa kutatua tatizo, Dogo kama Hilo? Kijijini kwetu,tatizo kama hili,linatatuliwa na wabibi ambao hawakwenda hata darasa LA kwanza!
Harafu hapa kuna, kijana kapata nafasi, ya kufika chuo kikuu,anaona amefanya LA maana kuja mitandaoni na kusema kuna tatizo LA kunguni hostel za, chuo! So pathetic! Madawa ya kuua kinguni yapo kibao, Bora angesema anafanya nini kuua Hao kunguni, sio kuja kulia Lia mitandaoni, je unataka vijana wa bodaboda uliowaacha kitaa, wakupe maharifa! Kwamba fungua google ufanye utafiti!?
 
Ngoja aje yule shehe aliyesema kunguni Paris ni laana kutoka kwa Mungu...........
 
Ajabu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa kwa sasa wadudu hao wamekuwa wengi sana yaani nahisi hata Ufaransa tunaposikia wamefunga vyuo hawajafikia huku, ni kero sana.

Yaani mwanafunzi wa chuo kikuu unalia na kulalama usaidiwe kuangamiza kunguni na mazalia yake...

Nchi hii itakuja kuendelea endapo kila mtu atatumia walau 5% ya ubongo wake...
 
Kama wanafunzi wanalipa gharama zao hapo hostel kwanini uongozi usipige dawa maana hilo Jambo sio Rahisi kulimaliza bila uongozi kuangalia ukubwa wake maana baadhi ya wanafunzi wanakerwa na kunguni ila baadhi yao Wala hawaoni Kama ni tatizo.


So kwakuwa hostel Ni Biashara za watu basi walifanyie kazi hili Jambo ili wanafunzi wasome kwa uhuru na Amani.
 
Mimi binafsi kunguni hawezi kunisumbua akili
Hata kidogo
Yani kunguni anakuzidini akili kweli?

Kunguni ni ndugu moja na uchafu
Sehemu yenye usafi uliotukuka kunguni hawezi kukaa hapo hata dakika mbili
 
kijana kunguni tu unakuja kulalamika JF sisi ndio waanzilishi(intake ya kwanza ya Masters)hapo UDOM,tulikuwa tunakaa Ng'ong'ona kule Block S 2008/2009 na tunasomea Social,kipindi barabara ya kutoka kule ni vumbi na makorongo kama yote,Daladala ikienda Mjini inabidi muisuburi mpaka irudi tena au mtembee kwa miguu mpaka Social kuhudhuria PINDI,sasa kijana mayaimayai unalalamika Kunguni JF duuh,si ni suala la kuchangishana tu wana-chumba na kununua dawa!!vijana wa siku hizi lainilaini sana
 
Hayo ni mapiya.

Kidogo kidogo nchi itatawaliwa na kunguni.

Dodoma makao makuu hebu dhibitini hiyo aibu, au mpaka kunguni waingie ikulu ?
 
Back
Top Bottom