jupiter001
Member
- May 25, 2023
- 44
- 72
Disclaimer: Hizi ni Tetesi
Kuna kundi la wana CCM wameshaanza kufanya mazungumzo na viongozi wa Upinzani ili kuhamia upinzani kabla ya uchaguzi wa serikali za Mitaa.
Baadhi ya wana CCM hao ni James Lembeli ambaye amewahi kuhamia CHADEMA kabla ya kurudi CCM tena kipindi cha JPM.
Wana CCM wanaopanga kuhamia upinzani wengi wanahamia huko kusaka nafasi za kugombea hasa ubunge, lakini most interesting ni kuwa Kuna potential presidential candidate, sijui kama Lissu atapenda ujio wa Kigogo huyo
Kuna kundi la wana CCM wameshaanza kufanya mazungumzo na viongozi wa Upinzani ili kuhamia upinzani kabla ya uchaguzi wa serikali za Mitaa.
Baadhi ya wana CCM hao ni James Lembeli ambaye amewahi kuhamia CHADEMA kabla ya kurudi CCM tena kipindi cha JPM.
Wana CCM wanaopanga kuhamia upinzani wengi wanahamia huko kusaka nafasi za kugombea hasa ubunge, lakini most interesting ni kuwa Kuna potential presidential candidate, sijui kama Lissu atapenda ujio wa Kigogo huyo