Hayati Magufuli yuko Mioyoni, CCM Asali na Upinzani wako Mitandaoni!

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,552
11,883
Wananchi Wako njia Panda, wengi hawaamini wala kuelewa kinachotokea mbele ya Macho yao.

Wengi wamebaki kama mayatima wasio na mtu wa kuwasemea tena.
Sasa wanabaki kushuhudia sherehe za kujipongeza kila uchao toka kundi la walamba Asali na Maswahiba wao wa Upinzani.

Kwa kile ambacho kilitokea na bado kina mlolongo wa mashaka,mpaka hapo itakapokuja kutokea kiongozi wa kukubali tuhoji. Kwamba ni nini kilitokea.

Kama imewezekana Burkinafaso nina imani hata Tanzania iko siku inakuja na kitajulikana tu.

Eti chama kile kile kilichookolewa na Magufuli ,wakati maji yalipokifika shingoni kabla ya 2015.

Sasa hivi ndio kinaongoza kumchafua kwa kauli nyingi toka kundi linalojiita "wenye chama" na Wapinzani waliokosa sera na mipango mbadala ya kupambana na CCM ili hatimae kushika Dola.

Na Wapinzani badala ya kuongelea madhira rasmi yanayowakumba wananchi huko mitaani na vijijini na jinsi ya kuweza kuibana serikali iliyoko madarakani ili kuzitatua kero hizo.

Wao wameungana na CCM-asali kupigana na kivuli cha Marehemu Magufuli.

Na hawa CCM-asali Wamesahau kwamba kabla ya 2015,wana CCM walifikia mahali wakizomewa mitaani pale walipoonekana na Sare zao za CCM.
Na wao ndio walikuwa viongozi wakati huo.

Wamesahau kwamba Magufuli alitumika kama "Survival Gear" ya kuiokoa CCM ile iliyokuwa inachungulia kaburini.

Lakini jambo moja wasilolielewa hawa walamba asali kwa sasa. Ni kwamba wanapambana na mtu ambaye hayupo tena Duniani.

Wanapambana na mtu ambae yuko ndani ya "MIOYO" ya wananchi waliomkubali kwa kazi yake ya muda mfupi.Iliyowafungua macho wananchi juu ya uwepo wa maliasili za nchi hii na jinsi ya kuzitumia.

Ukimya wa wananchi sio ushindi kwa CCM-Asali na Upinzani ulionzisha ubia kama ilivyokuwa kabla ya 2015.

Bali ni ukimya uliojaa taharuki na Hasira za kimyakimya kwa wote wanaoendekeza kejeli dhidi ya mpendwa wao Magufuli.

Na kinachotokea ni kwamba ukimya huu wa wananchi sasa unaanza kuhamia hadi kwa viongozi waandamizi ndani ya serikali.

Ndio maana tunaanza kuzisikia kauli za "kuwalazimisha Kumsemea Samia"
Zikitolewa na viongozi waandamizi ndani ya CCM.

Ndio maana tunaiona CCM ikiingiwa na hofu na kulazimika kuanza "kampeni kabla ya wakati"

Napenda kuwaambia kwamba vema wakatunza maneno yao.

Kitendo cha viongozi wa CCM na taasisi zake kukaa kimya,bila kuwakemea wanachama wao, ambao wameibuka kwa wingi hivi sasa huku wakijitahidi kumchafua Magufuli.

Ni kitendo ambacho kitawagharimu sana kwenye uchaguzi ujao 2025.

Inaweza isimtingishe Samia ndio.
Lakini wabunge wengi wakae bungeni huku wakijua wako mle wakiwa njiani kurudi Benchi mtaani.

Wanaopambana na Magufuli wako Majukwaani na Mitandaoni.

Lakini magufuli yuko mioyoni mwa wananchi,kuanzia wamachinga,wakulima,wanafunzi vyuo vikuu na kwingineko.

Kila anaejitahidi kumchafua badala yake anachafuka yeye.

Kimya kingi kina mshindo.

Sasa hata Twiga wameruhusiwa kuanza kuuzwa tena.

Sasa tunaona watu walewale wakirudi kila uchao.
Tena kwa Kasi na Ari Mpya.

commonmwananchi
100101.


JamiiForums-201048130.jpg
FB_IMG_1647541304887.jpg

View attachment 2250953
 
voicer sasa marehemu kuwa mioyoni mwenu kuna shida gani? Nyie endeleeni kuabudu mizimu, sisi wengine nchi inasonga mbele. Mkichoka ibada mfu mtajoin the chain.
 
Wananchi Wako njia Panda,Wengi hawaamini wala kuelewa kinachotokea mbele ya Macho yao.

Eti chama kile kile kilichookolewa na magufuli ,wakati maji yalipokifika shingoni kabla ya 2015.

Sasa hivi ndio kinaongoza kumchafua kwa kauli nyingi toka kundi linalojiita "wenye chama" na Wapinzani waliokosa sera na mipango mbadala ya kupambana na CCM ili hatimae kushika Dola.

Na Wapinzani badala ya kuongelea madhira rasmi yanayowakumba wananchi huko mitaani na vijijini na jinsi ya kuweza kuibana serikali iliyoko madarakani ili kuzitatua kero hizo.

Wao wameungana na CCM-asali kupigana na kivuli cha Marehemu Magufuli.

Na hawa CCM-asali Wamesahau kwamba kabla ya 2015,wana CCM walifikia mahali wakizomewa mitaani pale walipoonekana na Sare zao za CCM.
Na wao ndio walikuwa viongozi wakati huo.

Wamesahau kwamba magufuli alitumika kama "Survival Gear" ya kuiokoa CCM ile iliyokuwa inachungulia kaburini.

Lakini jambo moja wasilolielewa hawa walamba asali kwa sasa.
Ni kwamba wanapambana na mtu ambaye hayupo tena Duniani.

Wanapambana na mtu ambae yuko ndani ya "MIOYO" ya wananchi waliomkubali kwa kazi yake ya muda mfupi.Iliyowafungua macho wananchi juu ya uwepo wa maliasili za nchi hii na jinsi ya kuzitumia.

Ukimya wa wananchi sio ushindi kwa CCM-Asali na Upinzani ulionzisha ubia kama ilivyokuwa kabla ya 2015.

Bali ni ukimya uliojaa taharuki na Hasira za kimyakimya kwa wote wanaoendekeza kejeli dhidi ya mpendwa wao magufuli.

Na kinachotokea ni kwamba ukimya huu wa wananchi sasa unaanza kuhamia hadi kwa viongozi waandamizi ndani ya serikali.

Ndio maana tunaanza kuzisikia kauli za "kuwalazimisha Kumsemea Samia"
Zikitolewa na viongozi waandamizi ndani ya CCM.

Ndio maana tunaiona CCM ikiingiwa na hofu na kulazimika kuanza "kampeni kabla ya wakati"

Napenda kuwaambia kwamba vema wakatunza maneno yao.

Kitendo cha viongozi wa CCM na taasisi zake kukaa kimya,bila kuwakemea wanachama wao,
Ambao wameibuka kwa wingi hivi sasa huku wakijitahidi kumchafua magufuli.

Ni kitendo ambacho kitawagharimu sana kwenye uchaguzi ujao 2025.

Inaweza isimtingishe Samia ndio.
Lakini wabunge wengi wakae bungeni huku wakijua wako mle wakiwa njiani kurudi Benchi mtaani.

Wanaopambana na magufuli wako Majukwaani na Mitandaoni.

Lakini magufuli yuko mioyoni mwa wananchi,kuanzia wamachinga,wakulima,wanafunzi vyuo vikuu na kwingineko.

Kila anaejitahidi kumchafua badala yake anachafuka yeye.

Kimya kingi kina mshindo.

Sasa hata Twiga wameruhusiwa kuanza kuuzwa tena.

Sasa tunaona watu walewale wakirudi kila uchao.
Tena kwa Kasi na Ari Mpya.

commonmwananchi
100101.View attachment 2250883View attachment 2250904
Mfuateni huko kuzimu tujue kweli yupo mioyoni, waabudu mizimu wakubwa nyie
 
2025 hamuoni ndani mtalia na kusaga meno
Hatuoni ndani kina nani?

Mimi sio mbunge bali mpiga kura kutoka Site na ninajua ninachokiongea..sikurupukii thread za wanaume wenzangu bila tafakuri.
Kama wewe ufanyavyo.
 
Nyie mnaolialia huwa siwaelewi, kwahiyo JPM akiwa mioyoni ndio inamsaidia nini 2025?

Mfano upinzani akasimama Mbowe na CCM akasimama Samia ambao wote ni anti-JPM je nini kitabadilika?

Mngekuwa mna chama chenu ningesema labda mtanufaika ila sasa wote mpo CCM alafu mnadhani mnaweza mzuia Samia mkiwa ndani??

Nakuhakikishia hapa hakuna team JPM atarudi bungeni 2025 na hamtokua na la kufanya. Mkileta kelele mtajikuta mnasota jela kama Sabaya!! Hiyo ndio CCM sasa kaeni mkidhani kuna muujiza.
 
Nyie mnaolialia huwa siwaelewi, kwahiyo JPM akiwa mioyoni ndio inamsaidia nini 2025?

Mfano upinzani akasimama Mbowe na CCM akasimama Samia ambao wote ni anti-JPM je nini kitabadilika?

Mngekuwa mna chama chenu ningesema labda mtanufaika ila sasa wote mpo CCM alafu mnadhani mnaweza mzuia Samia mkiwa ndani??

Nakuhakikishia hapa hakuna team JPM atarudi bungeni 2025 na hamtokua na la kufanya. Mkileta kelele mtajikuta mnasota jela kama Sabaya!! Hiyo ndio CCM sasa kaeni mkidhani kuna muujiza.
Hayo ni mawazo ya kilamba asali na ni haki yako kuyasema.

UMOJA PARTY ndio sera kwa sasa.
Labda muendeleze figisu za kukinyima usajili, lakini kuna vingine vinakuja soon.

Zile zama za kufikiri upinzani ni Chadema au hawa wasanii wengineo zinaelekea ukingoni.

Pia huko Bungeni pro-Magufuli ni wachache sana na wengi wa wabunge humo nimekwishaandika kwamba wajiandae kurudi Benchi.

Kushinda urais pia nimesema Samia ataweza tu vizuri..lakini bunge halitakuwa hilo lililopo kwa sasa.
Muwe na tabia za kusoma maandiko ya wenzenu bila kusukumwa na interest zenu binafsi.
Kama alitumbuliwa mama yako, binamu au wewe binafsi.
Hilo ni suala binafsi.

Na kuhusu Mbowe nakusikitikia kukaa ukitarajia kwamba bado anao ushawishi wa kisiasa kwa wananchi kama ilivyokuwa hapo zamani.

Hii ni nchi ya watu wengi na mambo yanaenda yakibadilika.

Wewe endelea kuwaza ndani ya boksi.
 
Hayo ni mawazo ya kilamba asali na ni haki yako kuyasema.

UMOJA PARTY ndio sera kwa sasa.
Labda muendeleze figisu za kukinyima usajili, lakini kuna vingine vinakuja soon.

Zile zama za kufikiri upinzani ni Chadema au hawa wasanii wengineo zinaelekea ukingoni.

Pia huko Bungeni pro-Magufuli ni wachache sana na wengi wa wabunge humo nimekwishaandika kwamba wajiandae kurudi Benchi.

Kushinda urais pia nimesema Samia ataweza tu vizuri..lakini bunge halitakuwa hilo lililopo kwa sasa.
Muwe na tabia za kusoma maandiko ya wenzenu bila kusukumwa na interest zenu binafsi.
Kama alitumbuliwa mama yako, binamu au wewe binafsi.
Hilo ni suala binafsi.

Na kuhusu Mbowe nakusikitikia kukaa ukitarajia kwamba bado anao ushawishi wa kisiasa kwa wananchi kama ilivyokuwa hapo zamani.

Hii ni nchi ya watu wengi na mambo yanaenda yakibadilika.

Wewe endelea kuwaza ndani ya boksi.
Hiyo umoja party labda muisajilie hapa JF
 
Kikubwa mtesi na muuaji yuko futi 6 chini na sasa ni kiongozi wa malaika sijui kama anawatesa na kuua
 
Back
Top Bottom