ommy255
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 1,041
- 226
Mmh sidhan kama anamaadal angelikuwa ni rais anajimbua angekemea huu ufisad, alisema atataja orodha ya wauza unga hd leo, Rais haangalii matatizo ya Nchi yake kila cku kusafir nchi za nje, sasa hapo utasema kunaRais ktk nchi hii Rais dhaifu sn
Last edited by a moderator: