Kunani Zanzibar mbona habari za ufisadi na Malaria hazivumi, Tanganyika vipi?

Fafanua kidogo FaizaFoxy na hapahapa nikuulize nini maana ya kuhororoja. Kikubwa tubakie kwenye mada kuu.
 
Last edited by a moderator:
Fafanua kidogo FaizaFoxy na hapahapa nikuulize nini maana ya kuhororoja. Kikubwa tubakie kwenye mada kuu.


Demokrasia imeshamiri zaidi Tanzania bara kuliko visiwani, Tanzania bara kuna ustahamilivu wa mawazo toka uongozi wa Kikwete uingie madarakani.

Zanzibar bado hakuna uhuru wa kusema na kila mtu hata akiwa na mawazo mbadala anaogopa kuwa muwazi, hukumbuki kilichomkuta jaji mkuu wa Zanzibar juzi juzi?
 
Nakumbuka na ndiyo kusema kuna ufisadi vilevile? Au kwa huu ufisadi unaoanikizwa ni porojo za wanasiasa wetu waganga njaa
 
Ndugu yangu sema hayasikiki tu kutoka Zanzibar. Na hakuna cha watu kuridhika wala kutojua. Zenji pesa inapigwa kwa kwenda mbele, lakini watu hawana pa kusemea. Hivi majuzi serikali ya mapinduzi imejenga mnara wa kumbukumbu ya "miaka 50 ya Mapinduzi matukufu", kwa kutumia Sh. Bilioni 2 (ikisemekana kuwa wajanja wameendeleza utamaduni wa kukwapua) wakati mji hauna hata Terminal sahihi ya dalala pale Manispaa...aibu tupu! Lakini wakasemee wapi?
 
Demokrasia imeshamiri zaidi Tanzania bara kuliko visiwani, Tanzania bara kuna ustahamilivu wa mawazo toka uongozi wa Kikwete uingie madarakani.

Zanzibar bado hakuna uhuru wa kusema na kila mtu hata akiwa na mawazo mbadala anaogopa kuwa muwazi, hukumbuki kilichomkuta jaji mkuu wa Zanzibar juzi juzi?

Kweli kabisa uongozi wa kikwete mzuri. Tena inabidi awachukue mashehe awapeleke Guantanamo kabisa Cuba Maana Wamarekani ndio wana Saikolojia nzuri zaidi ya kupambana na Magaidi. Mungu anamsaidia sana kikwete kwa Busara zake. Wamarekani wamemwambia mashehe walawitiwe ili wasizaliane yeye kasikiliza Viva kikwete
 
Nakumbuka na ndiyo kusema kuna ufisadi vilevile? Au kwa huu ufisadi unaoanikizwa ni porojo za wanasiasa wetu waganga njaa

Ufisadi kwa wenye asili ya lugha ya Kiswahili ni neno la kusherehesha na ufisadi upo wa kila aina.

Ufisadi kama neno linavyotumiaka sasa hivi kiholela linapotosha maana halisi ya neno ufisadi.
 
Kweli kabisa uongozi wa kikwete mzuri. Tena inabidi awachukue mashehe awapeleke Guantanamo kabisa Cuba Maana Wamarekani ndio wana Saikolojia nzuri zaidi ya kupambana na Magaidi. Mungu anamsaidia sana kikwete kwa Busara zake. Wamarekani wamemwambia mashehe walawitiwe ili wasizaliane yeye kasikiliza Viva kikwete

Wakulaumiwa ni Wazanzibari wenyewe waliowaleta huku. Walilazimishwa kuwaleta au ni vikaragosi?
 
Wakulaumiwa ni Wazanzibari wenyewe waliowaleta huku. Walilazimishwa kuwaleta au ni vikaragosi?

kwani wazanzibar peke yao ndio waislamu ? Halafu wewe unaiwezesha sisiemu iendelee kuwa madarakani ndio balozi wa mfumo kristo na kinara wa ulawiti kwa Mashehe wetu. Hatua ya kwanza ya kutupa haki waislamu ni kuiondoa Sisiemu ili tuweze kupata mahakama ya kazi na kujenga BAKWATA ya kiislamu hasa sio hiii tawi la kanisa.

Walaaniwe wote wanaosaidia ccm kuwa madarakani na hukumu ya mwenyezi Mungu isiwapitie pembeni Sema Amina....

cc kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikitafakari sana hasa ninapo sikia neno ufisadi huwa naona ni kwa viongozi wa TANZANIA BARA tu,Zanzibar sijawahi kusikia kahfa kubwa za ufisadi kama vile Richmond;EPA,IPTL/ESCROW, hata katika halmashauri au hospitali.Hivi ni kwani na sisi wa bara tusiige kule?

Vilevile nimejifunza jambo jingine kutoka Zanzibar viongozi wake hata wale wapo katika serikali ya muungano kama mawaziri nk hawana makuu yale ya kisiasa,ni nadra kuwasikia wakijinadi majukwaani kama vile wakwetu huku bara.
 
zanzibar hakuna cha kufisadi, kule kuna rushwa ndogo ndogo, utaskia tu wakulima wa mwani na karufuu wanaalalamika kuna shida, kama tu huko bara wakulima wa korosho, tumbaku na pamba wanavotaabika. subiri gesi na mafuta yaanze kuchimbwa huko zanzibar, hapo ndio tutajua kama kuna mafisadi hadi hakuna.
 
Ukifika Zanzibar jaribu kuuliza "hapa pangu ndio nani" halafu chukua maelezo utajua kama ufisadi upo Zenji au hakuna!
 
kwani ushasikia ufisadi shinyanga au mbeya!?? zanzibar ni kama mkoa, hamna cha kufisadi pale zaidi utakula hela ya viwanja viwili tu....
 
Ukifika Zanzibar jaribu kuuliza "hapa pangu ndio nani" halafu chukua maelezo utajua kama ufisadi upo Zenji au hakuna!

hakuna ufisadi zanzibar kwa vile wanayo serikali iliyoresponsible kwa ajili ya znz. kujilimbikizizi viwanja vitatu au vi nne ni ufisadi?

huku bara kumekuwa shamba la bibi ndio maana hata yule mbunge wa znz aliposema fedha za iptl zimeiumiza znz akajibiwa haraka kuwa znz inadaiwa umeme bil 90. maana yake serikali inaogopa sana kuifisidi zanzibar na inajibamba kuifisidi tanganyika maana inajua haipo.

kwa sababu maana l ya jibu hilo ni kuwa fedha zilizoibwa iptl ni za tanganyika na hawana cha kutufanya. ndio maana warioba aliliona hilo akapendekeza serikali ya tanganyika. angekuwepo hatua zingekuwa kali zaidi maana zingemfikia rais wa tanganyika na bunge lake lingechukua hatua kali
 


Je umewahi kusikia Zanzibar watu wanakula Mboga na kumbikumbi kama mlo kamili wa siku?
/FONT]

Wansayansi na wataalamu wa nutrioni wanashauri ili kujenga jamii yenye IQ kubwa watu wale mboga na insects(kumbi kumbi) kwa wingi.
Unataka kuniambia zbar hii kwenu ni mwiko?
 
Demokrasia imeshamiri zaidi Tanzania bara kuliko visiwani, Tanzania bara kuna ustahamilivu wa mawazo toka uongozi wa Kikwete uingie madarakani.

Zanzibar bado hakuna uhuru wa kusema na kila mtu hata akiwa na mawazo mbadala anaogopa kuwa muwazi, hukumbuki kilichomkuta jaji mkuu wa Zanzibar juzi juzi?

Znz hamna cha kuiba; karafuu tu;hili in koloni LA Tanganyika
 
Back
Top Bottom