Nani kakwambia Zanzibar hakuna ufisadi? Ufasadi uliofanywa na familia ya karume kule Zanzibar unajulikana sana, sema watu wa Zanzibar saiv hamna wa kuwatetea maana CUF iliyokuwa ikiwatetea saiv ni CCM-B.
Il Gambino
Ni upi huo?naona umetaja jina bila kutoa habari yenyewe...!lakini sio kiasi kama swala hilo linavyochukua nafasi kujadiliwa na kuacha mambo ya maendeleo hapa bara
Sitaki kuwaongelea wao wala uelewa wao....(Ninyi)Jamani naomba tujiulize kwanini wenzetu wa Zanzibar wanaongelea habari za maendeleo ya sehemu yao na hakuna ufisadi wala malaria, kuliko sie huku bara kila siku habari ni hizo...Wametushinda nini?
mkuu nakuunga mkono kabisaa zanzibar ufisadi wao si mkubwa kama huku kwetu ila naona kama kunakitu wanakosa mbona kanchi kenyewe hata hakaendelei kama tanganyika tunasema umasikini unaletwa na ufisadi, yaani hapo ndo huwa sielewi kunani kwa ndugu zangu hawa!
Nashukuru kwa kufafanua vzr, ni kweli hawana ufisadi lkn maisha yao ni duni pia..so kumbe....!Pengine ndio sababu wanasema tunawanyonya kaka...!na wanataka kujitenga mie nahisi wakijitenga kwa kuwa hawana maradhi hayo wataendelea kwa mudaa mfupi sana.