Kuna watu wanategemea cha ndugu na hawafi masikini

Kuna watu wanategemea cha ndugu na hawafi masikini

Wahenga ni waongo we acha tu. Eti mtaka yote hukosa yote. Leo nimeenda bucha nikitaka kichwa kizima na nyama steki mbona nimepewa vyote. Wahenga popote walipo wanashangaa na misemo yao
 
Back
Top Bottom