Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 5,635
- 18,090
Unafikiri jeshin ni mahala pa wahuni wahuni kama hao. We unafikir huko m23 au Adf kinachofanya kuwa vikundi vya mauaji ni nini?? Ni sababu ya kukusanya watoto wajinga wajinga wakora walioathitika saikolojia zao kama huyuHakuna Cha Arusha Wala usela wao, mtoto ananuka maziwa tumembeba wenyewe kapelekesha mji mzima, Azina imepotea dogo angeingia jeshini angekuwa komando kikosi Cha ngerengere.